Hivi kama wewe ni mzazi/ mlezi unachukua hatua au maamuzi gani endapo mtoto wako anakataa kwenda shule?

Hivi kama wewe ni mzazi/ mlezi unachukua hatua au maamuzi gani endapo mtoto wako anakataa kwenda shule?

sio veta.ampeleke gereji ya magari akajifunze umeme wa magari hyo fani inalipa sana tena ina pesa kuliko mtu anaefanya kazi ofisini. mimi nilikataa shule nikapelekwa gereji mpaka nimekuwa fundi mzuri tu. na nina vitega uchumi vingi nyumba3 hapa dar na nyumbani kwetu moshi nimejenga pia. nimewafundisha vjana wengi na nimewatoa na wana maisha mazuri tu nafamilia zao
Wewe kilichokutoa ni hiyo fani yako ya UCHAGA.. Usichanganye mambo.
 
Wewe ulivyokuwa kama yeye ulikuwa unapenda shule? Mama yake naye alikuwa anapenda shule? ....vya kurithi vinazidi. Mpeleke shule za jeshi kama Jitegemee na Makongo atanyooka. Kama upo Arusha mpeleke Makuyuni boyz.
 
Acha kutesa akili peleka shamba huyo pigisha kazi alale huku amesahau kufumba macho tumatuma hovyo punguza offa kwake treat kama mtoto wakike sa kumi na mbili ndani kama hajarud tandika na mpira wa baskeli
 
Mawazo yangu sifikilii kabisa kuwa mtoto wangu wa kuzaa kabisa aje aniambie hataki shule anataka kukaa nyumbani utakuwa mwisho wangu wa kukaa uraiani
 
Back
Top Bottom