MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wewe kilichokutoa ni hiyo fani yako ya UCHAGA.. Usichanganye mambo.sio veta.ampeleke gereji ya magari akajifunze umeme wa magari hyo fani inalipa sana tena ina pesa kuliko mtu anaefanya kazi ofisini. mimi nilikataa shule nikapelekwa gereji mpaka nimekuwa fundi mzuri tu. na nina vitega uchumi vingi nyumba3 hapa dar na nyumbani kwetu moshi nimejenga pia. nimewafundisha vjana wengi na nimewatoa na wana maisha mazuri tu nafamilia zao
Sishauri shule za bweni, atafundishwa ushogaDawa ni kumpeleka shule ya boarding tu akapambane na walimu wanoko huko atanyooka atake asitake.
Akiwa nyumbani anadeka
Ukimpeleka shule za kishua za kimayai mayai hapo sawa,mpeleke shule zinazomilikiwa na JW au JKT huko ni maisha ya kibabe hakuna mambo ya my wanguSishauri shule za bweni, atafundishwa ushoga