Duuu! Hawa waarusha akili zao wanazijua wenyewe eti mi nakuja dar we huwezi kuja arushaMkasa mzima uko hapa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuu! Hawa waarusha akili zao wanazijua wenyewe eti mi nakuja dar we huwezi kuja arushaMkasa mzima uko hapa..
Dudu anawapiga wakina mr nice tuNyandu hawez kupigana na dudu baya hata kama mlevi, dudu alikuwaga bondia wa kitaa, anarusha ngumi na ndio mana wanamgwaya..
Kupigana sina hakika ila jamaa analift uzito mkubwa sana gymmb dog huyu huyu??
mvona anajiamini sana...kwemye interviews zakeDudu anawapiga wakina mr nice tu
Hata mimi ukiskia naongea unaweza ukahisi ni bruce lee kafufuka sasa subiri kiwake unaweza ukasema usain bolt yupo tanzaniamvona anajiamini sana...kwemye interviews zake
Japhet Kaseba kwa sasa ameokoka na kuwa mhubiri wa neno la Mungukaseba sijui aliishiaga wapi
tupia picha tuaminiKupigana sina hakika ila jamaa analift uzito mkubwa sana gym
Hili Dudubaya si ndilo lilitaka kukaua ka Mr. Nice? Ila Professa J maskini ameugua siku hizi hana tena! Mungu aendelee kumpigania aisee!Hivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.
Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana
Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes
Wewe unahisi nani ni fire?
Ao ote ata upepo unawarusha umewela tu wala ungaHivi tukiongelea ubabe, ununda, kiasi kwa akianzisha varangati hakuna msanii mwenzake atakayemuweza..yaani ukimchokoza tu anafunga mtaa.
Huku mtaani kuna hawa jamaa wanatajwa sana
Zola D
Kalapina
Nay wa Mitego
Profesa Jay
Chid Benz
Dudu Baya
bou nako
p funky
fido Vato
lord eyes
Wewe unahisi nani ni fire?
Au sioTuna safari ndefu sana kupata katiba mpya
Kama yule Fido vato nae ni mbabe basi Chuga mnamatatozo..Yaani jamaa mlaini vile?