Hivi kijana unaejielewa inakuaje hadi unaoa single mother?

Natafuta Ajira
 
Pole sana mkuu kwa uliyopitia. Yawezekana hao mama wadogo walikuwa na mambo meusi baada ya kuolewa wakiwa single mothers, kwa hiyo wanaamini single mothers wote wako hivyo.

Niko nanjilinji huku mkuu karibu sana
 
Usijidanganye kaka ,huyo single mother anajua aliko mwenzie wanawake ni viumbe tata
 
Kama kuna binti huko nje ambaye yupo umri mdogo na hajaanza mahusiano ramsi wala kuwa na mtoto halafu azione hizi nyuzi zote na maandiko mitandaoni kuhusu single mothers then akaingia kwenye kundi hilo siku chache zijazo then huyo atakuwa ni kilaza kushinda hata vilaza wote.

Kiukweli elimu imeshatolewa ya kutosha na tahadhari ni nyingi kupita maelezo. Nitashangaa sana kama kuna mabinti bado wanaingia katika hili shimo la usingle mother kwa sababu yoyote ile. Masingle mothers huku mtaani wamevurugwa utawaonea huruma masikini,wanaume wenye utulivu wanawakwepa kushinda wanavyokwepa bodaboda. Yaani Wanaume wa sasa anaweza ona gari linakuja upande wake hatoogopa wala kulikwepa hadi apigiwe honi ila akiona single mother anakuja anaruka utadhani anakwepa mshale.

Tujikaze tuishi na matokeo ya maisha tuliyochagua. Kama ulicheka na kufurahia kipindi kile unapakizwa brevis, crown, boda boda ukielekeza boda boda pa kukupeleka huku umebinua mgongo kama umepigwa ngumi ya mgongo, kipindi kile kijana yule aliyemaliza chuo ila hakuwa na maisha na alikuwa broke akikubembeleza kila siku kuwa alikuhitaji sana muanze maisha pamoja show atasimamia yeye ukakataa na mapozi ukaleta then hayo maisha ya usingle mother ni matokeo ya gharama uliyokwepa kuishi na mwanaume ambaye ndie kwanza anaanza.

Jikaze uimalizie safari uliyoianza ewe single mother.
 
Nipo siti ya mbele kabisa. Mwamba ameandika maneno mazito sana na yenye ukweli kiwango cha lami.

Huku nje watoto wa 2005 wameshaanza kutusalimia "Mambo" badala ya shikamoo na tukisimama nao wanao nuna ni mashangazi na hawa Plate namba C na B.

Ama kweli wanaume eneo la mahusiano tumejaziwa ile ya sako kwa bako. Niseme tu mwanamke akikuletea pozi usilalamike wala kumchukia,muache aende,aisee huku mtaani watoto wazuri wanachanua na ni wazuri kupita maelezo.

Wanawake endeleeni kuleta mapozi na kuringaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Usijidanganye kaka ,huyo single mother anajua aliko mwenzie wanawake ni viumbe tata
Naamin kwamba hajui aliko baba wa mtoto na sijawahi kuhisi udanganyifu wowote. Lkn anajua kuwa ktk hili akijichanganya tu anarudi kwao. Huwq namkumbusha mara kwa mara
 
We jamaa single maza hazina bahat kwa uzi huu
 
Kusema ukweli mzito kama huu imekuwa ni mwiko kwa muda mrefu katika hii jamii lakini nina uhakika kama ukweli wa namna hii ungeanza kusemwa mapema pengine jamii yetu ingekuwa bora sana miaka hii.

Tabia na utamaduni wa perpetuate vitendo viovu vya wanawake kwa wanaume na kuviita "wanawake ni dhaifu na ndivyo walivyo" imepelekea kuyaona maovu ya wanawake kama kawaida na sehemu ya nature yao.

Kama tunaweza kukubali kuwa mwanamke kuzaa nje ya ndoa ni kawaida na sio tabia ya maamuzi binafsi ya mwanamke kwa kuchagua why inakuwa ni ngumu kukubali mwanaume kulala na wanawake hovyo pia sio sehemu ya maamuzi yake ni nature tu?

Kama tunakubali mwanamke kujibishana na mwanaume kwa kukosa adabu ni jambo la kutochukulia serious then why tunachukulia serious mwanaume anayepiga pale anapokosewa adabu na mwanamke,kwani kupiga si ni natural reaction ya mtu anayekosewa?

Tumeamini kwa muda mrefu kuwa wanawake hawajui wanachokitaka na ndio maana wanafanya jambo lolote la hovyo kwa kisingizio cha udhaifu wa kike. Ukweli ni kwamba wanawake kama binadamu wengine wapo very conscious na aware juu ya kila jambo wanalofanya. Kinachowapa uthubutu wa kufanya maamuzi ya vitu vya hovyo ni ule ule utamaduni wa kuamini mwanamke ni kiumbe dhaifu na huwa hajui alitendalo kama mtoto wa umri wa miezi miwili toka kuzaliwa na hivyo kila mtu huona hakuna haja ya kumuwajibisha mbadala wake ukajitengeneza mfumo wa kimazoea wa kumfanya mwanaume ambaye hana hatia na matendo ya mwanamke kubebeshwa mzigo wa matokeo ya tabia mbovu za mwanamke.

Kimsingi tusitegemee kuona wanawake wenye maadili wakimea kwenye hii jamii ya kisasa kama titaendelea kulea huu upumbavu wa udhaifu wa mwanamke. Wanawake wanajua kabisa wanachokifanya na wanafanya makusudi kabisa kwasababu wanajua wapo kwenye jamii ambayo inawatetea na kuwalea (kuprovide safety net) hata wakifanya ujinga wa aina gani.

Tukianza kuwawajibisha kwa matendo yao mtaona kama kutakiwa na upuuzi ukiendelea kwenye jamii.

Mwanamke akizaa alee mtoto na aliyechagua kuzaa nae sababu kuzaa sio jambo la kugusana na mtu mkono mtoto akaja bahati mbaya ni process ndefu sana na inayotaka jitihada na kujitoa.

Huwezi nambia mtu alitoa namba,akakubaliana na mtu kwenda nae sehemu maalumu kwa usiri,wakakaa vikao kadhaa aidha Pub,Bar,au restaurant kukubaliana kufanya tendo la ndoa ila wakati ambao sio halali na wakijua kabisa matokeo ya hilo tendo ni yapi.

Wakakutana tena na tena,wakavuana nguo,wakanyonyana ulimi na kubadilishama mate kwa mahaba mazito, mwanaume akatoa dudu lake, mwanamke akalishika,akalichezea,akalitia mdomoni,akaanza kulinyonya kwa ugwadu sana,baada ya dakika chache za kunyonya hili dudu,akapanda kitandani au akajilaza vizuri kwenye kochi,akamruhusu huyu mwanaume tena kwa hamu alichomeke hilo dudu huko chini,kisha jamaa akaanza kumtomba. Halafu baada ya dakika kadhaa jamaa akafika kileleni mwanamke akabana kiuno kwamba jamaa akamulie ndani bao lake akijua wazi kuwa hapo ndipo mwanzo wa kuingia kwa mtoto kwenye mji wa uzazi.

Then akakausha akisubiria mimba itunge,ikatunga baada ya siku kadhaa na akajua kabisa kuwa fulani ndie nilimpa ruhusa ya kuweka mbegu zake hapo kwenye mji wa uzazi. Then baada ya hapo mimba ilipotunga ndipo akajua jamaa hayupo serious na yeye anaanza jifanya kurudi kwenye jamii kuwa yeye ni victim wa kutelekezwa.

Halafu atake wewe ndio uchukue kijiti cha mbio uendelezee jamaa alipoishia? Hivi huoni huo ufala ulivyokaa aisee?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hebu imagine mtu ambaye angekutana na wewe miaka kadhaa nyuma angekukataa kama mfuko wa takataka ila leo anakuigizia kuwa katika wanaume wote wewe ndie amekuona muhimu kwake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Huu utapeli unatakiwa kutuokomezwa kwa kasi sana na usivuke 2025. Tuendelee na hizi kampeni kali za kukataa masingle mother.

Mwanamke akizaa na mtu ahakikishe huyo huyo ndie atawajibika na watoto wake na majukumu ya uzazi otherwise wanawake mtakapozaa na mtu then wajibikeni na gharama za watoto wenu separately.

Kama huwezi kudate na kuanza mahusiano na mtu bila kumshirikisha majukumu yako then komaa mwenyewe na wajinga wajinga wasiojielewa wanaohisi kugharamikia mtoto au watoto wa mtu mwingine ni baraka.

Vijana komaeni na mabinti wabichi wasio na wanaume ambao wanajielewa na wanaihusudu ndoa kama taasisi ya kwanza,hawa mademu wajinga wajinga tuachieni sisi tuwageuze shamba darasa. Wakishaharibiwa hapa sisi ni kuwatumia kama mifano na target ya mashambulizi kwenye mada zetu na mijadala na tutawashambulia kisawa sawa. Panapouma ndipo sisi tutaongezea kipigo hapo hapo bila kujali kelele za kutia huruma sababu tukicheka na nyani mwishowe ni kuvuna mabua tu.
 
Naamin kwamba hajui aliko baba wa mtoto na sijawahi kuhisi udanganyifu wowote. Lkn anajua kuwa ktk hili akijichanganya tu anarudi kwao. Huwq namkumbusha mara kwa mara
Wewe hauwajui hawa watu vizuri,atakufurahisha ipo siku hautaamini. Kupretend ndio professional yao ya kwanza. Ya pili ni kumtumia mwanaume,ya tatu ni kumuumiza na kumuacha vibaya. Trust me on this. They are ungrateful and they are proud of it.
 
Ukiona umepewa umewa matendo 10 ya mtu, kati ya hayo matendo 10 ni matendo 8 mabaya na 2 ndio afadhali then bila aibu ukasema then huyu mtu wewe unamthaminisha kama mtu bora na asiye na tatizo then jua wazi wazi kuwa wewe kwanza ndie tatizo kubwa kwenye jamii sababu ndie unampa nafasi huyo mwenye shida kuhalalisha tabia zake mbovu kuwa halali.

Sote tunajua hadi mtu anakuwa single mother kuna miiko,viunzi,mageti,na masharti kadhaa amekwisha yavunja ndipo akafika hiyo stage ya kuitwa tatizo.

Wewe kwa utashi wako unachagua kumuwezesha (enabler) kuwa ni halali na hana tatizo kuendelea kuishi kama mtu wa kawaida kwenye jamii na kupewa stahiki sawa na wale ambao wamejitunza na kujisitiri wasivunje miiko, masharti,na kuvuka viunzi vya ustaarabu wa jamii yao ambayo inatakiwa kuboreshwa.

Wanaume ndio chachu ya mabadiliko,ila kuwa na wanaume teketeke wasio jua kesho ya jamii yao ni hatari zaidi kuliko hawa single mother wenyewe.

Ni vema muda mwingine kukaa kimya kama haujui unachoongea kinakwenda kuleta madhara yapi kwenye jamii.

Wewe kama ni soft kiasi hicho then jitahidi kujufunza kwa wenye roho ngumu ambao hawacheki na nyani.

Unakuja hapa unatetea ujinga as if ni aina ya baraka tumepewa na MUNGU halafu kila siku ya ibada unakwenda kumdhihaki MUNGU madhabahuni kwa kujifanya wewe ni mtii wa mamlaka yake.

Ni wapi Bible au msaafu kama vitabu vya dini zenye waumini wengi vimeelekeza kuwa wanawake wakapuyange hovyo wakati wa usichana na ubinti wao kisha ndipo waitafute ndoa wakisha haribu kila kitu?
 
Kweli mkuu halafu wanakuaga na chuki moyoni iliyojificha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…