Hivi kikawaida sijui hapa tuchukue hatua gani dhidi ya huyu mchungaji...

juzi nimeona nabii kawa ronaldo anatoa mapepo kwa kuwapiga chenga waumini
 
Ahsante chief..Na kwa hil uko sahihi kabisaa.
 
juzi nimeona nabii kawa ronaldo anatoa mapepo kwa kuwapiga chenga waumini
Ahahahahah...i saw that too... very idiotic worships..Mimi huwez nikuta session za kishemz shenz kama Ile..nikienda kanisani huwa napenda kuheshimu sana muda wangu. Nina mambo mengi sana yanayohitaji muda wangu sasa nije ibadan uniletee ufala fala kama ule hutaniona tena
 
Makanisa ya kina mama na watoto, ukienda uko kua tayari kuanguka vinginevyo unajitafutia ulemavu. Imewah nikuta pia niialikwa na mchungaji A badae akaja mchungaj B asiejua misimamo yangu nusu tukunjane na vijana wake.

"Na kwel, tukapewa rufaa Muhimbili, shukrani sana sana sana kwa mtaalamu wa mifupa pale Moi, dokta Lupondo. Japo tulilazimika pia kumuhonga ila kupata huduma ila tunashukuru Mungu pale Muhimbili ilitugharimu million 10."
UMENIKWAZA SANA UMEMDHARIRISHA DOCTOR NA UMEMTIA HATIA, HUKUWAZA HILO?
 
Kabila sijamalizia kusoma mkuu,rekebisha, Mimi ni mlutheri niliyetokea RC
Ni kkkt!
Nasali kkkt kimara korogwe Kwa mchungaji W.Mastai.
Mi sio wa makanisa ya kilokole!
Rekebisha mtumishi
 
Ukiwa kama Great Thinker,ulitakiwa umshauri mapema alivyoanza kwenda kwenye hayo makanisa ya wahuni manabii uchwara,na hapo ukute hana pesa maana yote alikuwa anaipeleka kwa hao manabii uchwara,poleni lakini pambaneni
 
Tayana-wog ndiye Mlokole wa ukweli na hudai yeye na ulokole ni mate na ulimi....

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana mkuu! Changamoto kama hz nazielewa sana.........ishu ya Imani ni ngumu sana kumsaidia mtu!

January hii na hizi gharama sio powa kbs tena Regency mziki wao nauelewa nlipelekwa Sina fahamu baada ya lisaa naamka bili haitamaniki
 
Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni...., usirudie tena kuweka hadharani inshu hizo maana waweza kumuharibia maisha Mtu bila kukusudia.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tayana-wog ndiye Mlokole wa ukweli na hudai yeye na ulokole ni mate na ulimi....

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Khaaa kumekucha
Nimedai wapi tena mkuu?🤣🤣🤣

Jmn huu ulokole unachukuliwaje sijui,mimi Nina muamini Kristo,ni mfuasi wa Kristo!
Niondoleeni hizi lebo nyingine hazina issue ....
 
Halafu nimeshindwa nichangie nn
Sitaki kuchuma dhambi!

Ila shida ya aunt Yako ilimkuta mama yangu mzazi last year!
Kwa mara ya kwanza mama alikuwa analia km mtt
Akikaa utafikiri mzima
Kusimama,kutembea ilikuwa mziki aisee!
Hatuna dada,nani atakaa ampikie? Na vitu vingine,maana hawezi ht sogeza mguu!
Na ninatakiwa niende kongamano Dodoma,Bado 2days!

Aloo achana na kitu Imani!
Ni story ingine,ila nilisafiri kwenda kongamano Dodoma la waombaji siku narudi amepona mpk Leo!
Usicheze na meza ya Bwana!(rc na kkkt) hapa mtaelewa vzr
(Mwili na damu ya Yesu) ukielewa like fumbo,ukipata neema ya kufundishwa,au ufunuo wake,hutachikulia poa,kushiriki Kwa mazoea!
 
Pole sana kwa Aunt yangu. Kitu cha kujifunza sasa hv Mungu huyu ukimuendea kwa unyenyekevu mwenyewe kumuomba anasikia, Mithali 8:17. Wala huitaji msaidizi sijui hadi uombewe sijui mafuta yaani hayo ni utapeli mtu.

Istoshe mimi sipendi kuwekewa mikono wengine ndio wanachukua nyota yako so sitaki hata kusikia habari hizo. Huyu kama mchungaji kweli amuombee aunty apone, alaf tumieni zile dawa za asili za kurudisha nyonga nadhani watu wa Bukoba na wahaya wanajua hizi dawaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…