Ooh
Got u
Sawa tusiharibu Uzi wa watu hapa😅
Kwa kweli.
Umefunga pm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh
Got u
Sawa tusiharibu Uzi wa watu hapa😅
Kwakwel mawazo yangu (binafsi ambayo bado sijamshirikisha mtu) ni kwamba acha tungoje invoice halaf katika kugawana na yeye mchunga kondoo apewe part yakeTukimfungulia kesi ya shambulio la kudhuru mwili haitamfaa? au tukamwekee madawa ya kulevya halafu tumchomeshe hicho kikanisa uchwara kifungwe
Inawezekana mna mapepo yenye viwango zaid ya pastor 😂Aisee wanaoangukaga sijui kama ni kwel🤔mbn marafiki zangu hawaangukagi
Tena huyo naskia ni muimba kwaya kwahiyo anzia hapo upeleleziTunasali kanisa moja. Isije kuwa tunajuana sura
SahihiSio lzm kuanguka
Na SI Kila anaeanguka basi ana spirits,wakati mwingine ni nguvu za Mungu tu!
Na ni kweli kabisa,wapo wanaoanguka!
Na kuanguka sio lzm kuwekewa mikono,nguvu za Mungu zikiwepo mahali sio lzm uwekewe mikono ,utaanguka tu
Shida watu washatapeliwa sn kiasi kwamba ht wakikutana na ukweli wanaona uongo!
,pia yake maombi ya kwanza na
Ndio mambo ya walokole haya haya nayoyasema.Maombi ya sshv 40 days fasting unahudhuria?
Ahahahahah..sasa my boss unataka na mimi naanze kuzunguka viringeni kweli???mloge tu
Umewakana walokole vibaya sana akutake radhi sio[emoji1][emoji1]Kabila sijamalizia kusoma mkuu,rekebisha, Mimi ni mlutheri niliyetokea RC
Ni kkkt!
Nasali kkkt kimara korogwe Kwa mchungaji W.Mastai.
Mi sio wa makanisa ya kilokole!
Rekebisha mtumishi
No lengo.Kwanini umemtaja jina dr lupondo pia uka ainisha kuwa ulimhonga ..... unalengo gani ndugu mwandishi
😂😂Kuna maigizo bnInawezekana mna mapepo yenye viwango zaid ya pastor 😂
Nashindwa hata kusema.Ni mchungaji ndio. Wa haya makanisa ya kilokole haya ya akina Tayana-wog . Kiukwel nimesikitishwa na kushikwa na hasira kwa wakati mmoja.
Ni mama yangu mkubwa kabisaa yamemtokea.
Ni kwel sikatai hakulazimishwa kwenda huko kusali lakini ndio hivyo tena mambo ya imani (magumu sana).
Jana wakiwa katika vipindi cha maombi , mchungaji anapita anapiga maombi huku waumini nao wanagonga prayers ki individual kukemea shetani.
Mchungaji akawa anaweka mikono kwa watu tofauti tofaut randomly.
Akafika kwa aunt anamuwekea mikono huku anakemea pepo (tulivyoambiwa na wahusika) sasa ile kuona muumini yuko stable haanguki ,inaonekana akatumia nguvu kama kumpushi (hii hata mimi naijua, nilishawahi kukutana nayo, pastor akiona huanguki anakupush backward, hata sijui logic yake huwa nini?).
Sasa kwakua aunt ni mtu mzima (sana) akakoshindwa kustahimili msukumo akaona kama anataka kuanguka. Sasa haraka haraka akawa anatafuta pozi ili akae kwenye kiti (cha plastic) kilicho nyuma yake, akakosea timing..TATIZO LIKATOKEA.
Akaanguka kwa kutulia makalio ila ndio habar ikaishia hapo , akawa hawez kuamka. Kumbe inaonekana alifikia kiupande akakalia/akaangukia nyonga. MAUMIVU SI YA KITOTO.
Aunt alishapata shida kama hii miaka mi 3 nyuma akiwa nyumba akijikwaa akavunjika nyonga barabarani. Na ni mimi ndiye nilimchukua nikiwa na mwanaye wa kike (mdogo angu) tukamkimbiza Regency Medical Centre. Pale kwakua kuna watu najuana nao, nikashauriwa baada ya vipimo kwamba mgonjwa wetu apelekwe Muhimbili kwakua pale ghatama zitakua nafuu maana kwa Regency ,operation ile ingetugharimu milion 20 kwakua ni private. Ma hata kama ana bima, ingeweza ku cover not more than 9 millions.
Na kwel, tukapewa rufaa Muhimbili, shukrani sana sana sana kwa mtaalamu wa mifupa pale Moi, dokta *****. Japo tulilazimika pia kumuhonga ila kupata huduma ila tunashukuru Mungu pale Muhimbili ilitugharimu million 10.
Hiz pesa tulikamuana wana ndugu ili kufanikisha hili zoezi kwakua aunt ana watoto wadogo bado hawana uwezo kiuchumi.
HAYA SASA MCHUNGAJI KALIZUA TENA.
Na maza amasema kabisaa anahis hali kama ile ya miaka ileee ila sasa ni mguu mwingine. Ameanza vipimo vya awali leo na kama wana ndugu tumekaa mkao wa kula matumbo joto kujua donei kias gani itahitajika na JANUARY yoote hii.
Kwakwel binafsi makosa majibu, huyu mchungaji tumfanye kitu gani?? Maana kikawaida hatuna namna ya kumtia hatian kwa mujibu wa sheria.
am sorry kwa uzi mrefu.
Nimemaliza
Acha niwe mtazamaji tu!Sio lzm kuanguka
Na SI Kila anaeanguka basi ana spirits,wakati mwingine ni nguvu za Mungu tu!
Na ni kweli kabisa,wapo wanaoanguka!
Na kuanguka sio lzm kuwekewa mikono,nguvu za Mungu zikiwepo mahali sio lzm uwekewe mikono ,utaanguka tu
Shida watu washatapeliwa sn kiasi kwamba ht wakikutana na ukweli wanaona uongo!
Sema su niweke hapa hadharani uthibithisho...[emoji2960]Khaaa kumekucha
Nimedai wapi tena mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jmn huu ulokole unachukuliwaje sijui,mimi Nina muamini Kristo,ni mfuasi wa Kristo!
Niondoleeni hizi lebo nyingine hazina issue ....
Anaweza fanywa chochote hivi unaweza muumiza mgeni kisa tu yuko kwako na hujamwarika?Huwezi kumfanya chochote Kwa kuwa hakukualika uende kwake.