Hivi kikawaida sijui hapa tuchukue hatua gani dhidi ya huyu mchungaji...

Hivi kikawaida sijui hapa tuchukue hatua gani dhidi ya huyu mchungaji...

Kwanini umemtaja jina dr lupondo pia uka ainisha kuwa ulimhonga ..... unalengo gani ndugu mwandishi
Dr wenu hana huruma,anaomba rushwa hadi kwa wagonjwa, na bado wamelipa bili ya 10M, Watumishi tuhurumieni jamani, ndiyo tunawapa rushwa lakini rohoni tunaumia sana!!
 
Na cha ajabu Mgonjwa wenu akipata nafuu kidogo lazima atarudi tena kwa Mchungaji wake! Wanawake na Wachungaji ni kama Chatu na Mbwa!!
SAfar hii i believe atakua ame learn a lesson
 
Dr wenu hana huruma,anaomba rushwa hadi kwa wagonjwa, na bado wamelipa bili ya 10M, Watumishi tuhurumieni jamani, ndiyo tunawapa rushwa lakini rohoni tunaumia sana!!
Acha tu nikae kimya ila hiz hospital za serikal ndugu usipokua makin, unakufa unajiona.Hakyanani tena usipowapa kitu hawa wanakuona jeuri (maana wanakutengenezea mazimgira kabisa uelewe kinachotakiwa) mje ya hapo unakufa kama Mungu wako asipokuhurimia.

Mshkaji wangu enzi hizo alipata ajal akavunjika vibaya mguu akalazwa 2 months muhimbili Moi wamemfunga p.o.p. baada ya miez miwil wamesharud iringa hukoo aliambiwa atagungua tu hospital yoyote, siku ya kufungua mguu uko vile vile kana kwamba alifungwa kitambaa tu.. alikufa mchiz.

Sasa haya tukiyaongea tunaonekana wanoko wajuaji.
 
Ni mchungaji ndio. Wa haya makanisa ya kilokole haya ya akina Tayana-wog . Kiukwel nimesikitishwa na kushikwa na hasira kwa wakati mmoja.

Ni mama yangu mkubwa kabisaa yamemtokea.
Ni kwel sikatai hakulazimishwa kwenda huko kusali lakini ndio hivyo tena mambo ya imani (magumu sana).
Jana wakiwa katika vipindi cha maombi , mchungaji anapita anapiga maombi huku waumini nao wanagonga prayers ki individual kukemea shetani.

Mchungaji akawa anaweka mikono kwa watu tofauti tofaut randomly.
Akafika kwa aunt anamuwekea mikono huku anakemea pepo (tulivyoambiwa na wahusika) sasa ile kuona muumini yuko stable haanguki ,inaonekana akatumia nguvu kama kumpushi (hii hata mimi naijua, nilishawahi kukutana nayo, pastor akiona huanguki anakupush backward, hata sijui logic yake huwa nini?).

Sasa kwakua aunt ni mtu mzima (sana) akakoshindwa kustahimili msukumo akaona kama anataka kuanguka. Sasa haraka haraka akawa anatafuta pozi ili akae kwenye kiti (cha plastic) kilicho nyuma yake, akakosea timing..TATIZO LIKATOKEA.

Akaanguka kwa kutulia makalio ila ndio habar ikaishia hapo , akawa hawez kuamka. Kumbe inaonekana alifikia kiupande akakalia/akaangukia nyonga. MAUMIVU SI YA KITOTO.

Aunt alishapata shida kama hii miaka mi 3 nyuma akiwa nyumba akijikwaa akavunjika nyonga barabarani. Na ni mimi ndiye nilimchukua nikiwa na mwanaye wa kike (mdogo angu) tukamkimbiza Regency Medical Centre. Pale kwakua kuna watu najuana nao, nikashauriwa baada ya vipimo kwamba mgonjwa wetu apelekwe Muhimbili kwakua pale ghatama zitakua nafuu maana kwa Regency ,operation ile ingetugharimu milion 20 kwakua ni private. Ma hata kama ana bima, ingeweza ku cover not more than 9 millions.

Na kwel, tukapewa rufaa Muhimbili, shukrani sana sana sana kwa mtaalamu wa mifupa pale Moi, dokta *****. Japo tulilazimika pia kumuhonga ila kupata huduma ila tunashukuru Mungu pale Muhimbili ilitugharimu million 10.

Hiz pesa tulikamuana wana ndugu ili kufanikisha hili zoezi kwakua aunt ana watoto wadogo bado hawana uwezo kiuchumi.
HAYA SASA MCHUNGAJI KALIZUA TENA.
Na maza amasema kabisaa anahis hali kama ile ya miaka ileee ila sasa ni mguu mwingine. Ameanza vipimo vya awali leo na kama wana ndugu tumekaa mkao wa kula matumbo joto kujua donei kias gani itahitajika na JANUARY yoote hii.

Kwakwel binafsi makosa majibu, huyu mchungaji tumfanye kitu gani?? Maana kikawaida hatuna namna ya kumtia hatian kwa mujibu wa sheria.

am sorry kwa uzi mrefu.

N
Kumwajibisha Mchungaji ni ngumu sana.
Chukua mfano wa mch. Mackenzie wa Kenya aliyefungisha na kusababisha watu zaidi ya 400 kufa na kuwafukia kwenye msitu wa shakahola, ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia.!
Hapo mumlaumu huyo anti kwa kuangushwa na mapepo bila kukusudia.
 
Ni mchungaji ndio. Wa haya makanisa ya kilokole haya ya akina Tayana-wog . Kiukwel nimesikitishwa na kushikwa na hasira kwa wakati mmoja.

Ni mama yangu mkubwa kabisaa yamemtokea.
Ni kwel sikatai hakulazimishwa kwenda huko kusali lakini ndio hivyo tena mambo ya imani (magumu sana).
Jana wakiwa katika vipindi cha maombi , mchungaji anapita anapiga maombi huku waumini nao wanagonga prayers ki individual kukemea shetani.

Mchungaji akawa anaweka mikono kwa watu tofauti tofaut randomly.
Akafika kwa aunt anamuwekea mikono huku anakemea pepo (tulivyoambiwa na wahusika) sasa ile kuona muumini yuko stable haanguki ,inaonekana akatumia nguvu kama kumpushi (hii hata mimi naijua, nilishawahi kukutana nayo, pastor akiona huanguki anakupush backward, hata sijui logic yake huwa nini?).

Sasa kwakua aunt ni mtu mzima (sana) akakoshindwa kustahimili msukumo akaona kama anataka kuanguka. Sasa haraka haraka akawa anatafuta pozi ili akae kwenye kiti (cha plastic) kilicho nyuma yake, akakosea timing..TATIZO LIKATOKEA.

Akaanguka kwa kutulia makalio ila ndio habar ikaishia hapo , akawa hawez kuamka. Kumbe inaonekana alifikia kiupande akakalia/akaangukia nyonga. MAUMIVU SI YA KITOTO.

Aunt alishapata shida kama hii miaka mi 3 nyuma akiwa nyumba akijikwaa akavunjika nyonga barabarani. Na ni mimi ndiye nilimchukua nikiwa na mwanaye wa kike (mdogo angu) tukamkimbiza Regency Medical Centre. Pale kwakua kuna watu najuana nao, nikashauriwa baada ya vipimo kwamba mgonjwa wetu apelekwe Muhimbili kwakua pale ghatama zitakua nafuu maana kwa Regency ,operation ile ingetugharimu milion 20 kwakua ni private. Ma hata kama ana bima, ingeweza ku cover not more than 9 millions.

Na kwel, tukapewa rufaa Muhimbili, shukrani sana sana sana kwa mtaalamu wa mifupa pale Moi, dokta *****. Japo tulilazimika pia kumuhonga ila kupata huduma ila tunashukuru Mungu pale Muhimbili ilitugharimu million 10.

Hiz pesa tulikamuana wana ndugu ili kufanikisha hili zoezi kwakua aunt ana watoto wadogo bado hawana uwezo kiuchumi.
HAYA SASA MCHUNGAJI KALIZUA TENA.
Na maza amasema kabisaa anahis hali kama ile ya miaka ileee ila sasa ni mguu mwingine. Ameanza vipimo vya awali leo na kama wana ndugu tumekaa mkao wa kula matumbo joto kujua donei kias gani itahitajika na JANUARY yoote hii.

Kwakwel binafsi makosa majibu, huyu mchungaji tumfanye kitu gani?? Maana kikawaida hatuna namna ya kumtia hatian kwa mujibu wa sheria.

am sorry kwa uzi mrefu.

Nimemaliza
"miaka mi 3 nyuma akiwa nyumba akijikwaa akavunjika nyonga barabarani", weka vizuri hapa, ni nyumbani au barabarani!
 
Yaan kisa cha kumtafuta Mungu ndo ikugharimu shilingi milion 10 daah biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
 
Acha niwe mtazamaji tu!

Yaan miaka yote sijawahi ona naowajua wakipata miujiza inayoonekana mfano alikua anatembea kwa magongo baada ya maombezi akatoka nduki bila msaada wa magongo
Hahaha, pole
Ila wapo ,tena Wala hawakuguswa,nguvu za Mungu ziliwatembelea wakatupa magongo.
 
Sheria za nchi hazisemi kuwa mtu akija kanisani apigwe kupiga mtu ni kosa la jinai iwe kanisani , msikitini au popote. Pia hii ya kumsukuma mtu na kumvunja nyonga ni kosa kama makosa mengine. Kuwa alikuwa anakemea pepo haipo kisheria maana hawezi kuithobitisha. Mvuteni kwa pilato. Sadaka zitamsaidia matibabu.
Na Tayana-wog asisali hapo atakuja kuvunjwa uti wa mgongo kabla ya ndoa. Asiseme hatukumwambia 😂😂
Jmn mi mlutheri,nimemwambia arekebishe huo Uzi wake!
😅
Halafu mi siwezi mpa huyo mch.hiyo kesi maana sijui kwakweli
 
Ndio mambo ya walokole haya haya nayoyasema.
U letheri haukua na mambo hiz hapo before. Hiz ni upgrades mme install from somewhere ndio maana wenye kkkt yao wakiwapiga virungu hao akina Matsai na Kimaro kwamba mnatuingizia taratibu za kigeni zisizo zetu mnafikiri wanawaonea😂😂
Kuna mtu aliongea haya sitamahangaa,ila sio wewe!
Btw,kwani ulokole una shida Gani? Tuanzie hapo kwanza?
Kwasbb haijalishi upo dhehebu Gani kuwa na Yesu ni jambo binafsi na mhimu, tunahubiri watu waje Kwa Yesu!,lkn pia kuomba au mtumishi kuombea watu Kuna shida Gani?
Maana Bado sijaelewa point Yako?
Nn kimekua installed? Kutoka wapi?
Nachojua kuomba ni suala la Kila muamini!
Kuombewa pia Kuna ubaya?Yesu aliagiza ,pozeni wagonjwa,nk we unajua hili,sa shida Iko wapi?

Kila mmoja hapa duniani ameitwa Kwa kusudi lake,huduma 5 unazijua, kwahiyo mtu anapokua anatembea kwenye kusudi lake na maelekezo yake ya namna ya kutimiza hilo kusudi ht km Yuko ndani ya taasisi ndo mnasema ame instaly vitu kutoka sehem nyingine 🤷
Hakuna anaemiliki maombi,maombezi,ulokole etc......
Taratibu za dini/madhehebu zimetuharibu na kumfungia Mungu kwenye aina Fulani za utaratibu, which is very wrong, hata hizo Taratibu unazoziona ni sahivi zimewekwa na mwanadamu mmoja aliyepata revelation Fulani....
 
Umewakana walokole vibaya sana akutake radhi sio[emoji1][emoji1]
Anachanganya mambo 😅
Mi sisali hayo makanisa!
Shida watu wamekariri, yaani km unasali rc, kkkt,morovian, Anglican,etc kwani huwezi kuokoka?

Wokovu hauhusiani na unasali wapi, ni kitu binafsi ambacho hakihusiani na unasali wapi!
 
Anachanganya mambo 😅
Mi sisali hayo makanisa!
Shida watu wamekariri, yaani km unasali rc, kkkt,morovian, Anglican,etc kwani huwezi kuokoka?

Wokovu hauhusiani na unasali wapi, ni kitu binafsi ambacho hakihusiani na unasali wapi!
🧑‍💻
 
Kumwajibisha Mchungaji ni ngumu sana.
Chukua mfano wa mch. Mackenzie wa Kenya aliyefungisha na kusababisha watu zaidi ya 400 kufa na kuwafukia kwenye msitu wa shakahola, ameshtakiwa kwa kuua bila kukusudia.!
Hapo mumlaumu huyo anti kwa kuangushwa na mapepo bila kukusudia.
Uko sahihi chief
 
"miaka mi 3 nyuma akiwa nyumba akijikwaa akavunjika nyonga barabarani", weka vizuri hapa, ni nyumbani au barabarani!
Nilikua namaanisha akiwa katika harakat za nyumbani ..alikua ametoka mara 1 kwenda dukan ile kinyumbam nyumbn.

Narekebisha
 
Kuna mtu aliongea haya sitamahangaa,ila sio wewe!
Btw,kwani ulokole una shida Gani? Tuanzie hapo kwanza?
Kwasbb haijalishi upo dhehebu Gani kuwa na Yesu ni jambo binafsi na mhimu, tunahubiri watu waje Kwa Yesu!,lkn pia kuomba au mtumishi kuombea watu Kuna shida Gani?
Maana Bado sijaelewa point Yako?
Nn kimekua installed? Kutoka wapi?
Nachojua kuomba ni suala la Kila muamini!
Kuombewa pia Kuna ubaya?Yesu aliagiza ,pozeni wagonjwa,nk we unajua hili,sa shida Iko wapi?

Kila mmoja hapa duniani ameitwa Kwa kusudi lake,huduma 5 unazijua, kwahiyo mtu anapokua anatembea kwenye kusudi lake na maelekezo yake ya namna ya kutimiza hilo kusudi ht km Yuko ndani ya taasisi ndo mnasema ame instaly vitu kutoka sehem nyingine 🤷
Hakuna anaemiliki maombi,maombezi,ulokole etc......
Taratibu za dini/madhehebu zimetuharibu na kumfungia Mungu kwenye aina Fulani za utaratibu, which is very wrong, hata hizo Taratibu unazoziona ni sahivi zimewekwa na mwanadamu mmoja aliyepata revelation Fulani....
Not serious bwana
 
ingekua mimi ningemfata huyo mchungaji atajua yeye kama atamponya atamubea au atampeleka hospital vinginevyo mchungaji a jiandae kutrend
Si aombewe ,ndo alichofuata huko sasa ninyi mnampeleka wapi ?
 
Dr wenu hana huruma,anaomba rushwa hadi kwa wagonjwa, na bado wamelipa bili ya 10M, Watumishi tuhurumieni jamani, ndiyo tunawapa rushwa lakini rohoni tunaumia sana!!
Asa angemuwekea uzi wake ....ili tujue moja maana hapa ameanza na mchungaji pia angemripoti pale pale mambo sikuizi yamerahisishwa
 
Back
Top Bottom