Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii umeua bila kukusudia yaan wale wasomi wanaita manslaughter,SI Wewe TU mwenye maumivu,,,,yupo mwingine humu jf, yeye anauza maembe mjini anamtumia Hela Maza kijijini,nae anzipeleka Kwa mchungaji.View attachment 2880850
Kabila sijamalizia kusoma mkuu,rekebisha, Mimi ni mlutheri niliyetokea RC
Ni kkkt!
Nasali kkkt kimara korogwe Kwa mchungaji W.Mastai.
Mi sio wa makanisa ya kilokole!
Rekebisha mtumishi
Sio lzm kuangukaAisee wanaoangukaga sijui kama ni kwel🤔mbn marafiki zangu hawaangukagi
Kweli mkuuTunasali kanisa moja. Isije kuwa tunajuana sura
Kweli mkuu
Hahaha tulivyo nyomi hapa sio rahisi😅
🤣🤣🤣Isije kuwa ndio mke wangu niliyepangiwa unajificha back bencha ya kanisa
🤣🤣🤣
Nimecheka
Huwa sikai back
Jpil yenyewe naamka sa kumi na nusu, kumi na moja na nusu au na dkk 40 niwe church coz sitaki kukaa nje mie,pia yake maombi ya kwanza na madam Grace kabila ya litrujia siwezi kuyakosa lkn pia kuwahi ibadani ni vzr
Maombi ya sshv 40 days fasting unahudhuria?
Ukweli sihudhurii 40 days fasting maana mimi ni busy person.. mimi ni wa jumapili kwa jumapili. Hakuna jumapili nayomiss.. japo napenda kusali ibada ya pili. Ni muumini wa mda mrefu.. mpaka baadhi ya vyeo vya umoja wa vijana nimeshawai kuvishika
OkUkweli sihudhurii 40 days fasting maana mimi ni busy person.. mimi ni wa jumapili kwa jumapili. Hakuna jumapili nayomiss.. japo napenda kusali ibada ya pili. Ni muumini wa mda mrefu.. mpaka baadhi ya vyeo vya umoja wa vijana nimeshawai kuvishika
Ni kwel kabisa.Ahsante sanaPole sana kwa Aunt yangu. Kitu cha kujifunza sasa hv Mungu huyu ukimuendea kwa unyenyekevu mwenyewe kumuomba anasikia, Mithali 8:17. Wala huitaji msaidizi sijui hadi uombewe sijui mafuta yaani hayo ni utapeli mtu.
Istoshe mimi sipendi kuwekewa mikono wengine ndio wanachukua nyota yako so sitaki hata kusikia habari hizo. Huyu kama mchungaji kweli amuombee aunty apone, alaf tumieni zile dawa za asili za kurudisha nyonga nadhani watu wa Bukoba na wahaya wanajua hizi dawaa
Usijali mkuuKama hutajali tufahamiane jumapili
Ok
Basi we utakua kimara temboni!
Mi kimara korogwe,sisi hatuna ibada mbili, ibada ya pili ilijifia yenyewe more than 10 yrs now...ilikosa watu.
So, tuna ibada Moja na tunatoka sa 6,7....tukiwahi sn sa 5..
Ni kweli maombi ya jioni km uko busy sio rahisi kuhudhuria,lkn sshv ibada ziko live hakuna kumiss
Haya rekebisha Uzi 🤣Ni kwel kabisa.Ahsante sana
Aah okay...ulihamia temboni kumbe.Ndio nowdays ni msharika wa KKKT temboni.sababu kuu Ibada ya pili matsai aliiuwa korogwe. Kuamka asubuhi siku 7 za wiki mfululizo kunachosha
Aah okay...ulihamia temboni kumbe.
Hakuiua, ilikufa automatic
Ilikosa watu, mi nilikuwa nasali hiyo ikawa inakosa watu sbb ye alikuwa anahudumu ya kwanza tu,sa unakuta watu wanamtaka mch. Hawezi hudumu ibada zote ikajifia watu wote wakawa wanakuja asubuhi sbb ya ile kuomba, kufunguliwa,neno ...
Ile ya pili ilikuwa full litrujia tena inaendeshwa na parish worker au muinjilisiti
Hata huko siku hiz mnapiga collabo ya hiz habar..mpo huko piaHaya rekebisha Uzi 🤣
Mi mlutheri
Kkkt kimara korogwe sio wa makanisa ya kilokole
OohNasali temboni ndio. Ibada ya pili. Siku nikimmiss matsai nasali korogwe ya kwanza. Matsai ni mchungaji wangu wa miaka mingi. Even ibada ya msiba wa mama yangu aliongoza yeye na kwenye mazishi alikuja. Kama unasali muda mrefu nikitaja jina unaweza ukawa unamjua huyo mama
Aah wapiHata huko siku hiz mnapiga collabo ya hiz habar..mpo huko pia