Hivi kikawaida sijui hapa tuchukue hatua gani dhidi ya huyu mchungaji...

Tukimfungulia kesi ya shambulio la kudhuru mwili haitamfaa? au tukamwekee madawa ya kulevya halafu tumchomeshe hicho kikanisa uchwara kifungwe
Kwakwel mawazo yangu (binafsi ambayo bado sijamshirikisha mtu) ni kwamba acha tungoje invoice halaf katika kugawana na yeye mchunga kondoo apewe part yake
 
Sahihi
 
,pia yake maombi ya kwanza na

Maombi ya sshv 40 days fasting unahudhuria?
Ndio mambo ya walokole haya haya nayoyasema.
U letheri haukua na mambo hiz hapo before. Hiz ni upgrades mme install from somewhere ndio maana wenye kkkt yao wakiwapiga virungu hao akina Matsai na Kimaro kwamba mnatuingizia taratibu za kigeni zisizo zetu mnafikiri wanawaonea๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwanini umemtaja jina dr lupondo pia uka ainisha kuwa ulimhonga ..... unalengo gani ndugu mwandishi
 
Kabila sijamalizia kusoma mkuu,rekebisha, Mimi ni mlutheri niliyetokea RC
Ni kkkt!
Nasali kkkt kimara korogwe Kwa mchungaji W.Mastai.
Mi sio wa makanisa ya kilokole!
Rekebisha mtumishi
Umewakana walokole vibaya sana akutake radhi sio[emoji1][emoji1]
 
Mchungaji hana makosa ilitakiwa aunt amweleze apatiwaje huduma isiwe ya kuanguka maana ana shida ya kiafya
 
Sheria za nchi hazisemi kuwa mtu akija kanisani apigwe kupiga mtu ni kosa la jinai iwe kanisani , msikitini au popote. Pia hii ya kumsukuma mtu na kumvunja nyonga ni kosa kama makosa mengine. Kuwa alikuwa anakemea pepo haipo kisheria maana hawezi kuithobitisha. Mvuteni kwa pilato. Sadaka zitamsaidia matibabu.
Na Tayana-wog asisali hapo atakuja kuvunjwa uti wa mgongo kabla ya ndoa. Asiseme hatukumwambia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwanini umemtaja jina dr lupondo pia uka ainisha kuwa ulimhonga ..... unalengo gani ndugu mwandishi
No lengo.
NA labda uwe mgeni wa huduma za muhimbili, hiv ni vitu vyabkawaida kabisa. Watu wanakufa kwa ujinga wa ubinafsi wa madaktari pale mpala uwape chochote kitu
Na by the way this can just treated as allegations tu cz no proof for any conviction agaist them.

Are you the one??
 
Nashindwa hata kusema.
Lakini nimeona niandike.

Mungu amponye mama
 
Acha niwe mtazamaji tu!

Yaan miaka yote sijawahi ona naowajua wakipata miujiza inayoonekana mfano alikua anatembea kwa magongo baada ya maombezi akatoka nduki bila msaada wa magongo
 
Khaaa kumekucha
Nimedai wapi tena mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jmn huu ulokole unachukuliwaje sijui,mimi Nina muamini Kristo,ni mfuasi wa Kristo!
Niondoleeni hizi lebo nyingine hazina issue ....
Sema su niweke hapa hadharani uthibithisho...[emoji2960]

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ