little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Nilihisi ni jambo gani hilo, jipe muda mkubwa utapata majibu tusiyaandike mengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushapigwa wewe!Wakuu salama?
Kuna chimbo jipya(mchepuko) nimelipata hapa Dodoma.so katika story za hapa na hapa akanitumia huu ujumbe hapa chini.
Nijuavyo mimi michepuko huwa 8na lengo la kuvuruga tu ndoa za watu.
Ila huu mchepuko umenishangaza kidogo kwa jinsi ulivyo positive.
yaani wewe ni kajichizi! bora ushaanza kuwa mama mkubwa chipukizi ushangazi unaondoka vinginevyo mhn! vivulana hivi vijingavijinga ungevinyooshaUpweke na mkwanja....
Yaan mi kama napewa pesa Kila kitu naitika abee baba
unasetiwa uiingie kwenye mfumo, jaa umtie mimba uone shughuli yake, hapo unawekewa ulezi unase mwenyeweWakuu salama?
Kuna chimbo jipya(mchepuko) nimelipata hapa Dodoma.so katika story za hapa na hapa akanitumia huu ujumbe hapa chini.
Nijuavyo mimi michepuko huwa 8na lengo la kuvuruga tu ndoa za watu.
Ila huu mchepuko umenishangaza kidogo kwa jinsi ulivyo positive.
🤣🤣🤣🤣 Nashukuru ubinti umeondoka...sasa naelekea ushangazi dogo...huo umama mkubwa niutoe wapiyaani wewe ni kajichizi! bora ushaanza kuwa mama mkubwa chipukizi ushangazi unaondoka vinginevyo mhn! vivulana hivi vijingavijinga ungevinyoosha