Babuu Wesaki Kilauwo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 357
- 488
Kuna namna si bure maana Sportybet mnairudiarudia kimtindo 🤣🤣🤣.rwajinga sana walininyima pesa ja jackpot wakasema tulishinda watu elfu 70 kila mmoja akapewa mia tano.
Sijawatumia tena nikakimbilia sportybet
Labda kuna mechi ilikuwa interrupted/postponed odds zake zikatolewaNi kweli kuna mtu alikula mil 3 kapewa 2.4
ngoja niachanae nayoNi kweli kuna mtu alikula mil 3 kapewa 2.4
Hakuna game zote zilicheza uwanjani, yeye hakuscreenshot.Labda kuna mechi ilikuwa interrupted/postponed odds zake zikatolewa
Haiwezekani watu elfu 70 kushinda kwenye jackpot ya sportpesa tena kwa dau la sh 1000Kuna namna si bure maana Sportybet mnairudiarudia kimyindo 🤣🤣🤣.
Ndo haya haya tunaliyosema hapo juu kwamba pale unapopanga mkeka ukitaka kubet angalia "acceept odds changes" (Yes/No) ,ukisema Yes mda unavyoenda mara nyingi odds zinashuka na kiasi cha ushindi inashuka piaHakuna game zote zilicheza uwanjani, yeye hakuscreenshot.
Kwa kile kichapo betpawa walipagawa, wakaanza kufanya mambo ya ajabu, sometimes mkeka ambao bado upo active hauonekani kwenye open betSasa pale wangepigwa sana maana unavyoongeza timu hata over 0.5 bonus inapanda, kuna mmoja alipata timu 60 odds ndogo ndogo bonus 1000% alishinda mil 110. Week ile hadi mikeka ambayo ni lost ikaonekana kama bado zipo active
Kusema kweli jamaa wana pesa wale, kufilisika sio rahisi lakini matokeo yakija vizuri for almost wiki moja lazima hazina yao itikisike.Kumbe nao watakuwa wanapigika sana eee
Sio ndio maana nikaachana nao siwataki kabisaHakuna
Haiwezekani watu elfu 70 kushinda kwenye jackpot ya sportpesa tena kwa dau la sh 1000
Hii inakuwa applicable kabla ya ku stake, meaning kipindi unapangilia team zako ndio option ya Odds change automatically au kwa ku accept, Baada ya ku stake mkeka wako hii option haifanyi kazi tena.kuepuka hilo la odd ikishuka na ushindi wa mkeka nao unapunguzwa usiweke tick pale "accept odd change" kama ipo tiki hapo itoe kabla hujalipia mkeka maana mchezo mzima unaanzia hapo kuwa umekubali mabadiliko ya odd yakitokea mwisho tunalalamika kuibiwa kumbe walaa we hakikisha hakuna tick sehemu hiyo
Huku print au kuscreen shot mkeka?Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.
Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.
Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
🤣🤣🤣🤣🤭Wabetiji bhana ukisha kula za uso unaona wamekubadilishia😂
Rafiki Mimi sio mgeni kwenye hili swala la betting na miaka zaidi ya kumi kwenye tasnia... Unaposema swala la ku-accept odds change Hilo linatakiwa lifanyike kabla ya kuplace bet...Kushuka odds au kupanda mbona nikampuni zote Tena wanakuambia accept any changes unaaccept bila kujua maana yake?[emoji23] Ndipo nashauru kabla ya kujiunga Soma kwa makini vigezo na masharti odds inaweza kupanda au kushuka kwa nukta ya sekunde
Mkuu inaonekana hujaelewa vizuri hivi tufanye nimeshakubali icho kidude cha odds change then nilipoplace bet odds zikashuka toka 60 Hadi 40 nikaweka efu 10 kushinda 400k..kuepuka hilo la odd ikishuka na ushindi wa mkeka nao unapunguzwa usiweke tick pale "accept odd change" kama ipo tiki hapo itoe kabla hujalipia mkeka maana mchezo mzima unaanzia hapo kuwa umekubali mabadiliko ya odd yakitokea mwisho tunalalamika kuibiwa kumbe walaa we hakikisha hakuna tick sehemu hiyo