Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Watakatifu wapo,sio kila mtu anapenda makuu hata hivyo hii ni mada tu inayosaidia huko unakokuita kurelax.
Watakatifu kizazi hiki hawapo ndugu yangu dunia imejaa wahuni na wanafiki
 
Bado 6 na 1. Tuwekee anavyo/alivyokuwa akimaliza stress.
 
Watakatifu wapo,sio kila mtu anapenda makuu hata hivyo hii ni mada tu inayosaidia huko unakokuita kurelax.
Ila mi siamini mtu siku hizi na imenisaidia sana.kuna watu niliwaamini ila waluniacha mdomo wazi
 
Nimemsikia jana akiiomba serikali kuangalia/punguza bei ya mbolea. Nikawaza, huyu mzee hajui kama kipaumbele sasa ni kuleta VAR na kuweka katika viwanja vya soka!!??
 
Embu nipe ABC za bata alilokuwa anakula maana sijui
Kinyozi wake kila week anatoka ufaransa kuja kumyoa nywele,weekend anaenda ulaya kula lunch usiku dinner nyumbani,watoto wake wanasoma ulaya kila weekend wanarudi congo,kijijini kwake alijenga kanisa la ajabu,airport kama ya chato,choo cha dhahabu,kitanda cha digital,kiti cha dhahabu tupu,sahani na kijiko ni dhahabu
 
Duh hatari sana, ningependa kujua maisha ya watoto wake sasa yapoje?
 
Humu kuna watu wanastahili SHIKAMOO! Mwaka 83 tayari unawajua MAMA LISHE... Unavuta Sigara...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…