FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #41
Na wamekubali dereva wao aovertake so dangerously? Speeding is one thing, overtaking like a lunatic is something else aisee...Mcheki huyu mwamba hapa chini, kajivisha mabomu sana.
Hiyo ndio inaitwa kujivisha mabomu.Na wamekubali dereva wao aovertake so dangerously? Speeding is one thing, overtaking like a lunatic is something else aisee...
Hao abiria sijui walikuwa kwenye hali gani.Mcheki huyu mwamba hapa chini, kajivisha mabomu sana.
. Kiduku Lilo. atasema ni gari za watotoKwani Kiduku Lilo anasemaje?
Acha dharau [emoji16][emoji16][emoji16]Brevis ni usafiri kama daladala tu sema enyewe inabeba watu wachache.
Kwani Kiduku Lilo anasemaje?
msiongelee mambo ya mafuta ili mradi lengo lake lilitimia na anatoa angalizo kwa wapenda ligi kwamba pima mbavu zako kwanzaMbwembwe zooote hizo nilidhani F. full tank nakuja angalia geji hapo naona mshale ndio unakaribia E . emte[emoji1][emoji1]
Hili ndo somoWhat matters is who is behind the wheel...!
Sent from my Redmi S2 using Tapatalk
Mm nina dharau brevis au ww unadharau daladala?Acha dharau [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi sijadharau daladala ila nimeangalia hadhi ya kupanda brevisMm nina dharau brevis au ww unadharau daladala?
Nawe uje ukutane na BMW gari ya Mgermany atakupita na usione aliko elekea na Ki Brevis chako
Ok mkuuMimi sijadharau daladala ila nimeangalia hadhi ya kupanda brevis
Yaani wewe na hiyo takataka unasema una leta ligi barabarani? Hiyo takataka fananisha na wenzie hao brand ya toyota ukija huku kwa Subaru Forester Xt 2009 ndio utajua kuwa toyota ni takataka tu barabarani, usirudie tena kuongelea vigari vyenu hivyo vya mikopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawe uje ukutane na BMW gari ya Mgermany atakupita na usione aliko elekea na Ki Brevis chako