Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

Mitaani kibaooo, kkooo kule ndo balaa, sinzaa huko zimejaaa.....mbna kibao tu hta mangi nahisi anazo sahivii๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Poa nikipita kariakoo nitaangalia ili ninukie vedi #fake till I make it๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sema zile za bei ghali zina unyama flani hiviii....tutafute tu mapeneee aloo huku tunafwaa fwaaa na kuruthumuuuu ya bukuu๐Ÿ˜
Poa nikipita kariakoo nitaangalia ili ninukie vedi #fake till I make it๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sema zile za bei ghali zina unyama flani hiviii....tutafute tu mapeneee aloo huku tunafwaa fwaaa na kuruthumuuuu ya bukuu๐Ÿ˜
Kuruthumu Ile kitu sio hata kwa ngumi sipaki dah ๐Ÿ˜‚ni Kali hatari Bora nibaki fog
 
Kuruthumu Ile kitu sio hata kwa ngumi sipaki dah ๐Ÿ˜‚ni Kali hatari Bora nibaki fog
Huyu apumzike sahivi....tuhamie kwa hawa wapendwa wetu wa kumimina kama juisi ya muwa kwa bukuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sijajua tu uhalali wake kiafya mana haya madude hayaaa mmmmhhhh
 
Inaitwa ELOPE
 
Perfume laki tatu!!! Aaaah jamani๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
Tatizo sio perfume ya laki 3 ,tatizo anafanya nini kwenye daladala na perfume ya laki 3๐Ÿ˜‚bora angejichanga anunue hata ki baby walker
 
Tatizo sio perfume ya laki 3 ,tatizo anafanya nini kwenye daladala na perfume ya laki 3๐Ÿ˜‚bora angejichanga anunue hata ki baby walker
Wanaonunua hizo hawapandi daladala.
 
Natumia perfume za Kiarabu

For men
Choco misks
Flower

5000 Tu
 
Kumbuka pia kwamba uzuri wake pia unategemea hali ya hewa..uliona mzuri Arusha (kuna baridi) lakini ukija kuitumia Dar isiwe hivyo(joto kali)
 
hela yote hiyo afu unapanda mwendo kasi tena!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ