Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Kumbe kuna tofauti ya manukato na Perfume? Mimi nilijua ni lugha tu ndio imetofautisha,ila kitu ni kilekile.Hayo ni manukato ya FOGG 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna tofauti ya manukato na Perfume? Mimi nilijua ni lugha tu ndio imetofautisha,ila kitu ni kilekile.Hayo ni manukato ya FOGG 😂
Yaani kujipulizia perfume ya laki naneba huku unadaiwa ada ya ntoto,kodi imeisha,ndani hakuna unga wala mchele lazima ulieNadhani kilichokuwa kinataka kukuliza ni laki 8. 😂 Ungemwambia hiyo huwa inanikataa, huwa natoka vibarango, naomba tu hiyo hela ninunue huku. Laki nane inaendaje na upepo kirahisi hivo!? 😂
Nipe nitanunua mweyewe🤣🤣🤣Kwa hiyo tununue hiyo ya 996,000 au tuendelee na deodorant😅
Utaenda kununua ya 10k wewe, huaminiki😅Nipe nitanunua mweyewe🤣🤣🤣
Manukato ni less than 10K.Kumbe kuna tofauti ya manukato na Perfume? Mimi nilijua ni lugha tu ndio imetofautisha,ila kitu ni kilekile.
UR WAY, INTENSE PEACH, MY SOULMATE, LADY PRESIDENTE, EXTREMELY UNIQUE, YARA, HER MAJESTY, PURE XS WOMAN. Hizo zinatosha au niongeze?Tuambizane na perfume nzuri za kike mi nshachoka kupaka miski😅
Duu! Hapa umenipoteza kabisa. Labda unisaidie utumie lugha ya Mkoloni, naweza kuambulia chochoteManukato ni less than 10K.
Perfume above 10K not more than 100K.
Utuli ni above 100K.
😀Ruksa. Unajikuna hadi pale mkono wako unapofika ndugu.Hapa sisi watumiaj wa perfume za buku tano tano tunaruhusiwa kucomment?
😂😂 Mwenye nyumba anafuata pesa anakuta unanukia halafu huna hela.Yaani kujipulizia perfume ya laki naneba huku unadaiwa ada ya ntoto,kodi imeisha,ndani hakuna unga wala mchele lazima ulie
Ntaujaribu huo mchanganyo.Jack Danuel,Cinzano,kontagi nk
Bajeti yangu huwa haizidi 25000 kwa perfume
Inapunguza nguvu za kiume na kufanya uume ulegee kuwa makini nayoBaada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Ila nayo bei mmhh.Naona Calvin Klein ipo poa sana...
Kazi kwako ikiisha! 😂 Na hutakiwi kubadili.Ila nayo bei mmhh.
Mie nnacho cha mls 30 nimeletewa. Nmeuliza bei dukani 110,000
Tafuta fake mkuu, usijitese.Ila nayo bei mmhh.
Mie nnacho cha mls 30 nimeletewa. Nmeuliza bei dukani 110,000
🤣🤣🤣🤣🤣Utaenda kununua ya 10k wewe, huaminiki😅
. Kuwa normal... Kwa nini Anuke???Ukipishana na mwanaume ana harufu ya kukera ndio unaona sawa? Au na hii majibu huna??
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Sawa sawa.. Kuwa normal... Kwa nini Anuke???
. Perfume haitoi uchafu ndugu
Kama mimi tu mkuu.Hapana kwa kweli. Sijawahi tumia perfume inayozidi 50,000
Bado parefu sanaHapana kwa kweli. Sijawahi tumia perfume inayozidi 50,000