Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

Hivi kuna perfume ya kiume yenye kunukia vizuri kuliko hii?

Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje

Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)

View attachment 3137303
Mwanaume unajipaka perfume umekuwa maiti?
 
Bado parefu sana
Huko juu nimetaja perfume zangu mbili pendwa hazizidi 27K Royale Blue na Romance hazi. Nikiwa sina pesa kabisa Everyone ingawa siku hizi wameichakachua lakini inaniondolea harufu ya kwapa
 
Baada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje

Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)

View attachment 3137303
Tangazo la kitalaam Sana hili
 
Mtoa mada kuna watu watakuuliza unapaka perfume ya laki 3 unapanda mwendokasi 🤣
 
Perfume nzuri sana hii nakumbuka niliwahi pewa kama zawadi na demu wangu mtoto wa waziri kwa kipindi hicho nlishindwa kuendelea nayo sababu ya kipato, But soon nafikiri nianze kuitumia tena
 
Mwanaume usipake hata mafuta
Dume zima limevaa macheni shingoni kama minyororo ya KUFUNGUA Mbwa, mikononi mafurushi ya mipete, meno limeweka coating za silver halafu limejimwagia manukato kama ya kuzikia maiti linapita barabarani ? Hovyo kabisa
 
pafyumu laki 3 na ushee alafu unapanda mwendokasi kuna kitu mahali hakipo sawa
Mkuu parfum ni kama nguo,,so unapoivaa mwilini ni kama umevaa nguo fulani special.

Ni vzr uvae yenye thamani kubwa ili ilinde confidence yako.

Kutembea kwa mguu sio kigezo cha kufanya ushindwe kumiliki parfum ya bei ghali..
Kujipenda ni tabia kama zilivyo tabia zingine za mwanadamu mfano ulevi nk.

Wapo watu wanaendesha magari ya thamani lakini akikupitia karibu ni kama beberu la mbuzi kwa harufu .
Na yupo mtu anatembea kwa mguu lakinj very good looking and smells good.
 
Achana nae huyo.. feki yake ipo Tsh 35,000 tu na huwezi jua tofauti 😀
First of all perfume ikishakuwa chini ya 100,000/= hiyo tena siyo pafum hayo ni maji na zaidi sana amini mkuu,original ni original tu anayetumia original na anayetumia fake wakikatiza mahali wa original atajiamini zaidi kuliko wa fake.

Any way,tuendelee kufarijiana huku tukiendelea kupambana kuongeza kipato siku na sisi tununue hizo za malaki kama siyo mamilioni.
 
Mi mpaka leo sijuagi sijui perfume ya kiume sijui ya kike .

An me yoyote ile napita nayo...
 
First of all perfume ikishakuwa chini ya 100,000/= hiyo tena siyo pafum hayo ni maji na zaidi sana amini mkuu,original ni original tu anayetumia original na anayetumia fake wakikatiza mahali wa original atajiamini zaidi kuliko wa fake.

Any way,tuendelee kufarijiana huku tukiendelea kupambana kuongeza kipato siku na sisi tununue hizo za malaki kama siyo mamilioni.
Ah bana we.. sasa kama unatumia perfume ya laki 4 halafu hamna mtu anaejua kama perfume yako ni ya ghali hayo si matumizi mabaya ya hela..?

Raha ya kitu cha ghali ni watu wajue😄 Kama lengo ni kunukia tuu mbona hata hizi za 35k zinanukia vizuri tena zinakaa kwenye nguo kutwa nzima.
 
Back
Top Bottom