ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Kwa hiyo tununue hiyo ya 996,000 au tuendelee na deodorant😅Aaah we mpare sidanganyiki🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tununue hiyo ya 996,000 au tuendelee na deodorant😅Aaah we mpare sidanganyiki🤣🤣🤣
Hapana kwa kweli. Sijawahi tumia perfume inayozidi 50,000😂😂ndo unayotumia nini?
Sijui nikuelezeeje ila wanawake ambao wameshakutana na watumiaji wa hii perfume watanielewa.
Fog ipi,zipo nyingi hizo...Mi natamba na Fog ya 10000 huo mtaji sio poa 🙌🙌
Mi natamba na Fog ya 10000 huo mtaji sio poa 🙌🙌
Na ikiisha inabidi umwambie tena "Kale kazawadi kaliisha". Au utanunua wewe mwenyewe? 😂Kuna mbwiga mmoja aliwahi kunitumia zawadi ya perfume kumbe inauzwa laki nane dukani,nilikuwa najipulizia huku nataka kulia
Kuna moja inaitwa "Yara" nzuri sanaTuambizane na perfume nzuri za kike mi nshachoka kupaka miski😅
Hayo ni manukato ya FOGG 😂View attachment 3138313
Kama hii? Katika matoleo yote ya Fog, hii kwangu ndio The best. Bahati mbaya Perfume zake ni adimu, zimejaa Body Sprays zake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Lord have Mercy Oparassspafyumu laki 3 na ushee alafu unapanda mwendokasi kuna kitu mahali hakipo sawa
Minjingu Mkuu ila mikoani tunatuma.Unapatikqna wapi
Nakazia kuna mahala fuse zitakuwa zimekata.pafyumu laki 3 na ushee alafu unapanda mwendokasi kuna kitu mahali hakipo sawa
Jack Danuel,Cinzano,kontagi nkWale wazee wa kuchanganya ni mchanganyo gani mzuri?
Bajeti yangu huwa haizidi 25000 kwa perfumeNa ikiisha inabidi umwambie tena "Kale kazawadi kaliisha". Au utanunua wewe mwenyewe? 😂
Hizo ni pigo za Chief Godlove kupewa perfume ya malaki na lugumi kisha anacheka cheka kama demu 😂😂😂Mbwiga ni wewe mkuu ukiyekuwa unajipulizia huku unataka kulia badala ya kunwaga tabasabu wakati mwenzio alinunua 800k akiwa anacheka!!
Weka harufu yake tucommentBaada ya kuangaika kutafuta perfume bora ya kiume kwangu hii ndo bora kuliko mzigo unaitwa SAUVAGE ELIXIR tena upate original huu mzigo ni balaa achana na zile za kkoo huwa nikienda mishemishe nikikutana na watoto wa kishua hawaachi kuniuliza unyunyu unaitwaje
Juzi nimepanda zangu mwendokasi nilikaa na pisi kali full mikausho nashangaa pisi inataka namba yangu nikaikumbuka ile ngoma ya Josline (wanaizimika yangu perfume)
View attachment 3137303
Hapa mjni ni ujanja wako tu. Watu tunanukia vizuri kutwa nzima kwa bajeti ya kuanzia elfu 20 hadi elfu 30 tu.Yaan perfume ninunue 345000! Mwanaume ninukie vizuri nmekua 🍒🚮
Acha nife na ubaili wang😀
Nadhani kilichokuwa kinataka kukuliza ni laki 8. 😂 Ungemwambia hiyo huwa inanikataa, huwa natoka vibarango, naomba tu hiyo hela ninunue huku. Laki nane inaendaje na upepo kirahisi hivo!? 😂Bajeti yangu huwa haizidi 25000 kwa perfume
Hizo ni Perfume au Mvinyo? Maana najua Cinzano ni brand pia ya pombe.Jack Danuel,Cinzano,kontagi nk
PombeeHizo ni Perfume au Mvinyo? Maana najua Cinzano ni brand pia ya pombe.
Ukipishana na mwanaume ana harufu ya kukera ndio unaona sawa? Au na hii majibu huna??Kuna baadhi ya wanaume tunakutana nao barabarani wananukia njia zima .
Kiukweli bado sijapata jibu sahihi kwa nini mwanaume anukie kiasi hicho 🤔🤔🤔