Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mkuu hivi we ulisoma ikizu secondary?Nimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hivi we ulisoma ikizu secondary?Nimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro...
Nilikuwa hapo Arusha 2018-2021 hapo Mount Meru kuna ward waliipa jina kabisa ward ya Toyo maana wahanga wa ajali za pikipiki walikuwa wengi mno mpaka kuna mkubwa mmoja akakasirika kwa nini ward ya hosp inaitwa Toyo. Lakini halikuwa jina rasimiVifo vya Toyo Arusha ni vingi sana
Hapana me ni zao la moshi technical(moshi ufundi)Mkuu hv we ulisoma ikizu secondary ?
Hiyo ni dalili moja wapo ya watu wasiojitambua..!Nimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki
Ila Arusha hapana vijana kama hawana Roho na nyama, yaani pikipiki unasikia imepita kama mlio wa nyuki halafu sio mmoja sasa ni wengi karibia wote.
Umekula wali wa Bi Mchafu na Da Asha. Na supu ya Mama Salma inayokuwa served na mumewe akivaa apron huku mke akiwa dukani anamfokea 😂Hapana me ni zao la moshi technical(moshi ufundi)
Upuuzi ulopindukia.Nimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki...
Famasihara nini na Chuga boys..Tatakuambia ni jamuhuri ya chugastan
Ninachokijua mimi pikipiki haina ufundi ipo siku wataona ubaya wa hicho chombo
Mwanamke kwa kutusagia kunguni hujamboo.Ndio zao hao, au hata wasiokuwa na magari. Jamani wanavuka barabara roughly sana, hawaogopi magari. Wanataka wao ndio gari impishe.
Bangi nyingi haoArusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.
Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii...
Uvutaji wa Bangi kiholela,Unywaji wa Pombe kali zisizo na viwango,Ujuaji wa Kijinga,Vijana wa kike kuvaa nguo za wanaume,Upumbavu na Uzandiki ndivyo vitu vimeiletea laana Arusha.Kama watu wa mara au sio
Hukuwasikia baraza la kiswahili eeeeeFamasihara nini na Chuga boys..
Haya wenye magari mtusamehe. Karibuni kwenye mji wetu.Ndio zao hao, au hata wasiokuwa na magari. Jamani wanavuka barabara roughly sana, hawaogopi magari. Wanataka wao ndio gari impishe.