Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Huyo yupo kwaajili ya mabwege kama nyie mnaoparamia miji ya watu. Ushamba mzigoGeordavie yupo hapo kwenye mji wenu wa laana mfuate akuombee hii laana ikuepuke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo yupo kwaajili ya mabwege kama nyie mnaoparamia miji ya watu. Ushamba mzigoGeordavie yupo hapo kwenye mji wenu wa laana mfuate akuombee hii laana ikuepuke
😂😂😂 mnakubalika na vichaa wenzenu walioungua meno kwa ajili ya BangiHuko kwenu hamfi? Bangi hamvuti? Mirungi hamli?
Tusipangiane maisha...
Nasisitiza akili huna
Kafie mbele. Wote vilaza tu😂😂😂 mnakubalika na vichaa wenzenu walioungua meno kwa ajili ya Bangi
😂😂😂Sasa apa umeandika nn? Kuandika kwenyewe hujui
Kufia mbele kukoje? We unafia nyuma?Kafie mbele. Wote vilaza tu
Hivi maana ya "CHALII" ni nini?,Usipojibu basically wewe una laanaKafie mbele. Wote vilaza tu
Hamna anakijua achana nae huyo...kuandika kwenyewe hajui ,anacomment mashudu tu.Hivi maana ya "CHALII" ni nini?,Usipojibu basically wewe una laana
Hawa watu ni media tu za kina mchomvu ndio ziliwapa airtime kibongo bongo na zile hip hop mavi za kibongo fleva ila ukikaa nao ni weupe yani kwao ujanja wanajua ni kuongea kiswahili kile cha ovyo ovyo na mavurugu though kwa wale walioenda shule ni watu poa sana.Hivi maana ya "CHALII" ni nini?,Usipojibu basically wewe una laana
Kwan wee ni chalii wa Chugastan?Natamani siku moja niwe na wewe magetoni
NdioKwan wee ni chalii wa Chugastan?
Umesahau na vimbuzi mkuu😃😃Umekula wali wa Bi Mchafu na Da Asha. Na supu ya Mama Salma inayokuwa served na mumewe akivaa apron huku mke akiwa dukani anamfokea 😂
Kweli kabisa mkuuHawa watu ni media tu za kina mchomvu ndio ziliwapa airtime kibongo bongo na zile hip hop mavi za kibongo fleva ila ukikaa nao ni weupe yani kwao ujanja wanajua ni kuongea kiswahili kile cha ovyo ovyo na mavurugu though kwa wale walioenda shule ni watu poa sana.
Hii ni kweli kabisa. Mimi ni mzawa wa arusha ila siwakubali kabisa hawa vijana ,Hawa watu ni media tu za kina mchomvu ndio ziliwapa airtime kibongo bongo na zile hip hop mavi za kibongo fleva ila ukikaa nao ni weupe yani kwao ujanja wanajua ni kuongea kiswahili kile cha ovyo ovyo na mavurugu though kwa wale walioenda shule ni watu poa sana.
MuongoooNdio
Viloba sanaNimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki
Ila Arusha hapana vijana kama hawana Roho na nyama, yaani pikipiki unasikia imepita kama mlio wa nyuki halafu sio mmoja sasa ni wengi karibia wote.
Umenikumbusha mbali sana, mpande yupo au?Umesahau na vimbuzi mkuu[emoji2][emoji2]
Mpande amestaafu muda sana,, mimi pia nina muda sana tangu nitoke pale.Umenikumbusha mbali sana, mpande yupo au?
Umekula wali wa Bi Mchafu na Da Asha. Na supu ya Mama Salma inayokuwa served na mumewe akivaa apron huku mke akiwa dukani anamfokea [emoji23]
NAripoti kutoka Karume 33Dah, unaripoti kutokea wapi masta?
Naripoti kutokea Azimio[emoji16][emoji16][emoji16]