Hivi kuna sehemu Tanzania bodaboda wanakimbia kama hawa wa Arusha?

Hivi kuna sehemu Tanzania bodaboda wanakimbia kama hawa wa Arusha?

Arusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.

Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.

Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"

Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
Sifa za kijinga mr ebo alisema
 
Acha wivu wa kike jomba. Mtu kukuambia yeye ni mwehu haimaanishi yeye ni kichaa anamaanisha hapendi ujinga ujinga.

Mkitoka huko vijijini kwenu daslam mkaingia na ushamba Arusha lazima tuwaambie muache mazoea ya kiree.
Eti dar kijijini
 
Nilichoipenda ni kwamba kila mtu anaharaka halafu ni mbabe ila kiuhalisia ni ushenzi tu pia hata ile rafudhi n uongeaji wa kupumbavu ni vijana tu wamtaaani wahuni mavi ila kuna watu wamezaliwa Arusha wanaongea kawaida kabisa na ni wakongwe miaka nenda rudi, kuna watu kaloleni, kijenge sanawari wanaongea kawaida kabisa ila kuna wajaa laaana tu wa huku ngara na mashenzini
 
Arusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.

Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.

Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"

Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu Pep kuna tuhuma zenu huku[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnashindana kuonyeshana vichaa vyenu[emoji1787]
 
Back
Top Bottom