Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrembo karibu Arusha uje uinjoyNawapenda machalii wa chuga, wako real, hawafake, wanatumia mjani, wanapeleka moto kivyedi vyedi.
Hilo la kukimbiza boda sio shida zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe toka uwe famous jf na mastery yako ya kindezi unajiona mjanja[emoji867]Arusha aliyekwambia niyakwenu ni nani?Mkiambiwa muache Bangi mnaanza kutukana
Ana mdogo wake yupo huko mkoa wa vichaa kama wana uzi walivyosema🤣Ndugu zake sio wanyaki tena?
Mdogo wangu hana tabia za kichuga jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heaven Sent ndugu zako hao
Yeye ana akili zake timamu kabisa 🤣🤣🤣Ana mdogo wake yupo huko mkoa wa vichaa kama wana uzi walivyosema🤣
ipo siku watamwelewa Lema wakiwa wamekwisha chelewa,wale watoto waarusha na wenyewe wanatumia petroli kama pikipikiNimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki
Ila Arusha hapana vijana kama hawana Roho na nyama, yaani pikipiki unasikia imepita kama mlio wa nyuki halafu sio mmoja sasa ni wengi karibia wote.
Anazikosaje wakati ni wa hukohuko🤣🤣Mdogo wangu hana tabia za kichuga jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani hadi tutapishana huku mtaani; unabadilika kila sikuNdugu zake sio wanyaki tena?
Ni kati ya wale wachache walioelimika na kustaarabikaAnazikosaje wakati ni wa hukohuko🤣🤣
Kwamba hauoni maoni ya wadau?🤣🤣🤣🤣Mdogo wangu hana tabia za kichuga jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vijana wa Arusha hata ongea yao ni ya hovyo hovyo tu. Usikute ndo wale watu waliangushwa toka mnara wa babeli wakajijuta wanaongea lugha za ajabu ajabu.
Nani kakuambia wapo walioelimika?😂😂Ni kati ya wale wachache walioelimika na kustaarabika
Wasukuma
Vijana wa Arusha
Serikali inabidi kuwekeza Nguvu kubwa kuwatoa katika utumwa wa fikra maana kichwani hawanga kitu Kabisa
Yes,ni kweli!,Arusha ina wenyewe wavuta bangi,ushamuona Mtu mwenye akili timamu anakaa Arusha?
Kweli kabisa Mkuu 🤣Wasukuma
Vijana wa Arusha
Serikali inabidi kuwekeza Nguvu kubwa kuwatoa katika utumwa wa fikra maana kichwani hawanga kitu Kabisa
Em achana na mdogo wangu; chugga boyKwamba hauoni maoni ya wadau?🤣🤣🤣🤣
Mkoa umejaa wavuta bangi tupuEm achana na mdogo wangu; chugga boy
SoonKweli kabisa Mkuu [emoji1787]
Hasa hawa wasukuma[emoji1787][emoji1787],heri wenzao wanavuta bangi angalau unajua shida ilipoanzia.
Sasa hawa wasukuma nadhani hata bangi hawavuti ila ndio hivyo tena[emoji1787][emoji1787]
Hii kitu acha tu mkuu sasa hii tabia huku pwani ndio usiseme si wadogo si wakubwa wote baba mmoja mama mmoja hawapishi au kama anakupisha basi kwa kujivuta.Ndio zao hao, au hata wasiokuwa na magari. Jamani wanavuka barabara roughly sana, hawaogopi magari. Wanataka wao ndio gari impishe.