emrod
Senior Member
- Aug 29, 2022
- 181
- 229
Ugoro+ gundi+bangi lazima ipae lakini pikipiki Haina ufundi zitaendelea kuwaua
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waone mara ngapiNinachokijua mimi pikipiki haina ufundi ipo siku wataona ubaya wa hicho chombo
Hiyo nafasi ya kuuona ubaya huwa hawaipati wakidondoka ni mazima kaburiniNinachokijua mimi pikipiki haina ufundi ipo siku wataona ubaya wa hicho chombo
Nilitoka pale 1999Mpande amestaafu muda sana,, mimi pia nina muda sana tangu nitoke pale.
Akili yako sawa na ujazo wa kisoda! Una-generalize watu wa Arusha kwa mambo ya kishenzi, fanya tafiti kabla ya kuropokaArusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.
Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.
Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"
Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arusha sio boda boda tuu hata hao wanaoemdesha magari wengi wao hawana fair na kutukana ni jadi yao awe mzee au kijana..Arusha ndio mji nimeshangaa unakuta machalii wanatukana bara barani kawaida tuu na hakuna anaeshangaa wewe ukishangaa ndio wanakuita mang'aa...
Kwa maeneo niliowahi kuishi hapa TZ sidhani kama kuna mkoa unao vunja rekedi ya vifo na ajali za bodaboda kuzidi Arusha.Nimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki
Ila Arusha hapana vijana kama hawana Roho na nyama, yaani pikipiki unasikia imepita kama mlio wa nyuki halafu sio mmoja sasa ni wengi karibia wote.
Wanawaza kutukana ,kuvuta bangi na gundi.Vijana wa kiarusha huwa wamevurugwa muda wote, si waendesha boda pekee...
Mpunguze hayo makushabu vifo ni vingi chaliadeeTutake radhi chaliangu
Hongera mkuu , wewe mkongwe kumbeNilitoka pale 1999