Hivi kuna sehemu Tanzania bodaboda wanakimbia kama hawa wa Arusha?

Hivi kuna sehemu Tanzania bodaboda wanakimbia kama hawa wa Arusha?

Arusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.

Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.

Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"

Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Acha wivu wa kike jomba. Mtu kukuambia yeye ni mwehu haimaanishi yeye ni kichaa anamaanisha hapendi ujinga ujinga.

Mkitoka huko vijijini kwenu daslam mkaingia na ushamba Arusha lazima tuwaambie muache mazoea ya kiree.
 
Uvutaji wa Bangi kiholela,Unywaji wa Pombe kali zisizo na viwango,Ujuaji wa Kijinga,Vijana wa kike kuvaa nguo za wanaume,Upumbavu na Uzandiki ndivyo vitu vimeiletea laana Arusha.
Wewe inakuhusu kitu gani mzee? Huko kwenu mnapokunywa gongo na kuchinjana chinjana hovyo na kulogana ndio hakuna laana?

Acha wehu wako wewe.
 
Mingi ni mivuta bangi,inakula mirungi kama mchele,mijuaji ya kijinga na ndiyo maana inakufa kila leo
Huko kwenu hamfi? Bangi hamvuti? Mirungi hamli?

Tusipangiane maisha.

Siku zote ukiona watu wanakufuatilia na kukusema sema ujue wanakukubali ila wivu ndio umetawala.

Machalii wa Arusha tunakubalika sana kila kona ya dunia sio washamba wa vijijini huko kama wewe uliofika town mwaka jana.
 
Back
Top Bottom