Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Achaga basi uwaki.Watu wa Arusha wewe unawaonaga ni wazima? Wote tu kama wamevurugwa muda wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achaga basi uwaki.Watu wa Arusha wewe unawaonaga ni wazima? Wote tu kama wamevurugwa muda wote.
Kumbe ushawapa shoo!!?Nawapenda machalii wa chuga, wako real, hawafake, wanatumia mjani, wanapeleka moto kivyedi vyedi.
Hilo la kukimbiza boda sio shida zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha wivu wa kike jomba. Mtu kukuambia yeye ni mwehu haimaanishi yeye ni kichaa anamaanisha hapendi ujinga ujinga.Arusha kitu wanachopenda kuprove ni kuwa hawana akili sawa sawa.
Katika kitu huwa kinanistaajabisha ni hicho. Yaani mtu ana hangaika kukuonyesha kwa maneno na vitendo namna ambavyo hana akili sawa sawa na anaona ni sifa muhimu ya kumfanya aonekane katika jamii.
Halafu si wanaume si wanawake si watoto si wazee wote idea zao zinakaribiana. Utasikia "Aiseee chalii yangu mimi ni mwehu mani kaulize sijui mawapi huko nilipo ngarambua kiyechuyechu"
Me huwa nawatazama natikisa kichwa nasepa.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
POCHaya wenye magari mtusamehe. Karibuni kwenye mji wetu.
Haswaaaah, nawakubali mnooKumbe ushawapa shoo!!?
Wewe inakuhusu kitu gani mzee? Huko kwenu mnapokunywa gongo na kuchinjana chinjana hovyo na kulogana ndio hakuna laana?Uvutaji wa Bangi kiholela,Unywaji wa Pombe kali zisizo na viwango,Ujuaji wa Kijinga,Vijana wa kike kuvaa nguo za wanaume,Upumbavu na Uzandiki ndivyo vitu vimeiletea laana Arusha.
Cruiser ya mwanaume mwenzako sio?Hao vijana wananijua vizuri ngao ya Cruiser iliwanyoosha vizuri sana
😂😂😂😂Achaga basi uwaki.
Arusha aliyekwambia niyakwenu ni nani?Mkiambiwa muache Bangi mnaanza kutukanaipo mikoa mingi sana hapa Tanzania, kama unaona Arusha pamekushinda, achana napo.. tuachie Arusha yetu.
ARUSHA ni Mkoa mzuri ila Vijana wengi wana laanaooh, sijui Arusha watu wahuni..mara watu wanakula sana banghi... mara bodaboda, kwani mmelazishwa kuishi Arusha?
bangi tumuachie nani wewe!! Arusha ina wenyewe kama haikufai amsha mzeebaba.Arusha aliyekwambia niyakwenu ni nani?Mkiambiwa muache Bangi mnaanza kutukana
hiyo laana nani aliwaachia?? wapi ambapo vijana hawana laana mkuu??ARUSHA ni Mkoa mzuri ila Vijana wengi wana laana
Yes,ni kweli!,Arusha ina wenyewe wavuta bangi,ushamuona Mtu mwenye akili timamu anakaa Arusha?bangi tumuachie nani wewe!! Arusha ina wenyewe kama haikufai amsha mzeebaba.
kama mnajua Arusha kunakaa watu ambao hatuna akili timamu, mnakuja kufanya nini huku??..kaeni huko kwenu ambapo hamna wavuta bangi.Yes,ni kweli!,Arusha ina wenyewe wavuta bangi,ushamuona Mtu mwenye akili timamu anakaa Arusha?
ID yako tu baada ya kuiona nikajua akili hunaCruiser ya mwanaume mwenzako sio?
Huko kwenu hamfi? Bangi hamvuti? Mirungi hamli?Mingi ni mivuta bangi,inakula mirungi kama mchele,mijuaji ya kijinga na ndiyo maana inakufa kila leo
Geordavie yupo hapo kwenye mji wenu wa laana mfuate akuombee hii laana ikuepukeKama mimi nina laana wewe utakuwa ndugu yake shetani. Maana hujielewi unaandika mautumbo mavi mavi tu wewe.
Get a life niggah, get off me.