Arusha sio boda boda tuu hata hao wanaoemdesha magari wengi wao hawana fair na kutukana ni jadi yao awe mzee au kijana..Arusha ndio mji nimeshangaa unakuta machalii wanatukanana bara barani watu wanaona kawaida tuu na hakuna anaeshangaa wewe ukishangaa ndio wanakuita mang'aa...
Mwambie aache ukuda arifAchaga basi uwaki.
Yaani natamani kila kukicha nibadilishe🤣🤣🤣🤣Yaani hadi tutapishana huku mtaani; unabadilika kila siku
MibangiNimekulia Moshi Kilimanjaro, yeah kuna vijana wanakimbia na pikipiki mitaa ya Kalimani, kaloleni kule na njoro.
Nimekaa Dar kidogo yes kuna vijana wanajitahidi kukimbia na pikipiki
Ila Arusha hapana vijana kama hawana Roho na nyama, yaani pikipiki unasikia imepita kama mlio wa nyuki halafu sio mmoja sasa ni wengi karibia wote.
Hizo Sasa ganjaNdio zao hao, au hata wasiokuwa na magari. Jamani wanavuka barabara roughly sana, hawaogopi magari. Wanataka wao ndio gari impishe.
Uzi siyo wa kwanguSoon
Utapata
Unachokitafuta
Wanazibuliwa nn tenaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afu nasikia wanazibuliwa balaa
Nshakaribiaaa.Mrembo karibu Arusha uje uinjoy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenye wanaita kukata upepo akipita tarajia kuona vumbi tu.
Umetumia kigezo gani kuwajumuisha wote kuwa hawana akili sawasawa? Saa zingine Kuliko uandike nonsense and look like a fool, it’s better to just shut up.
Mtaro balaaaWanazibuliwa nn tenaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arusha hii hii iliyojaa vijana wala gomba kutwa nzima na kusubiri kuomba hela kwa wataliiVijana waliozaliwa na kukulia Arusha, kwa wastani wanaupeo mkubwa wa mambo ukilinganisha na vijana wengi wanaotoka mikoa mingine hapa Tz.
Utagundua hili kwa urahisi tu ukifanya uchunguzi.
Lakini pia wageni/watalii wanaofika Tz na kutembelea mikoa tofauti wanawaona hii tofauti na wanauliza kwanini wakazi wa mikoa mingine Tanzania wanaonekana wapo slow sana? Mimi ni TO kwahiyo ninakutana na maswali ya namna hii. Kwa mfano mgeni akitoka Dar au Zanzibar au Mwanza akifika Arusha lazima ataona utofauti vile vijana/wakazi wa Arusha wanavyofikiri kuhusu maisha na kazi. Arusha ni pesa na biashara. Hakuna unyonge.
Mwisho niseme tu vijana wote wa Tz ni vijana wema na ninawaheshimu bila kujali wanaishi wapi, iwe Ruvuma au Kigoma au Mwanza. Sisi ni wamoja haija haja yakubaguana.
Huo ndiyo ukweli. Kwa wastani vijana au wakazi wa Arusha wanaupeo mkubwa zaidi kuliko vijana/wakzi wa maeneo mengine Tanzania.Arusha hii hii iliyojaa vijana wala gomba kutwa nzima na kusubiri kuomba hela kwa watalii
Sasa kama ulichelewa ndege kwanini upande boda c ungepanda tu costa au hice ili upande ndege lingineNiliwah kuchelewa ndege nikaamua nichukue boda kutoka Arusha kwenda Kia aisee nilipofika nilipiga goti nikamshukuru Mungu yule ni mvuta bangi sio binadam wa kawaida
Sema kweliiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtaro balaaa
Ni ukweli mtupu hilo halina ubishi.Huo ndiyo ukweli. Kwa wastani vijana au wakazi wa Arusha wanaupeo mkubwa zaidi kuliko vijana/wakzi wa maeneo mengine Tanzania.
Nafahamu unaweza kujisikia vibaya au ukajiona inferior lakini hii si lengo langu. Hayo pia si maoni yangu binafsi bali wageni wanaofika kutembelea Tanzania wanasema hili waziwazi tu.