Hivi kuna tatizo gani CHADEMA? Linapokuja suala la michango mbona hamuiweki wazi?

Hivi kuna tatizo gani CHADEMA? Linapokuja suala la michango mbona hamuiweki wazi?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Zimekusanywa mtaani,lakini taarifa ofisini,hivyo unashida ya taarifa nenda pale HQ, taarifa zote zinapatikana.
 
Wewe pimbi huna akili. Mnashindwa kuweka press release ? Kwanza huna akili kabisa zaidi ya kujikomba kwa fisadi namba moja. Utaolewa na waarabu.
Kwani mafisadi papa wa huo mtaa unao endakujikomba angalao uambulie vichenchi vya sigara huwaoni,mbona hawatoi hesabu zao.
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Bwashee wakitoa taarifa ya mapato na matumizi unitag, please!
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchunas

Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
We kweli kichwani ni shida,unashangaa pesa zilizochangwa mchsna kweupe tena na chama Cha upinzani!lakini hushangshi Raisi wako kudai royal tour imechsngiwa na watz,ila kashindwa kuwataja!Wala kiasi kilichochangwa hakitajwi!
Filamu imechezwa TZ lakini hatuna hatimiriki nayo sio mali yetu,
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Ccm bhana! Kwani Yale maburungutu aliyekuwa anatembea nayo magufuli barabarani yaliwekwa hadharani?
 
Ni muhimu Watanzania kufahamu ni kiasi gani kimechangwa na pia kwa upande wa Timu yetu ya Simba tufahamu ni kiasi gani kimechangwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wetu
 
Mkiambiwa Mbowe hufanya hicho chama kama kampuni yake mweka hazina ni mkewe
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Ulichangia kiasi gani? Mbona huihoji CCM mapato yalikusanywa ba Serikali yake kucoka makamouni ya kibeberu ya tours kufanikisha royal tours? Au ile ni halali yako?
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Kwani kampeni imeisha? Subiri Baraza kuu ni keshokutwa tu watatoa mchanganuo wote mbona mna haraka sana vijana?

Kampeni ni nchi nzima hata robo ya malengo Bado mnataka total figure? Are you serious?
 
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?

Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?

Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?

Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Mbn lile jambo letu juma pili hukuhojii ni sh ngapi ila ya cdm ndo umeliona
 
Back
Top Bottom