Godlisten sanuka
Member
- Jan 20, 2022
- 24
- 21
Huna akili kabisa yaani aliyekuchangia ndiye afate taarifa ya mchango ofisini?Zimekusanywa mtaani,lakini taarifa ofisini,hivyo unashida ya taarifa nenda pale HQ, taarifa zote zinapatikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili kabisa yaani aliyekuchangia ndiye afate taarifa ya mchango ofisini?Zimekusanywa mtaani,lakini taarifa ofisini,hivyo unashida ya taarifa nenda pale HQ, taarifa zote zinapatikana.
wewe kama nani ?Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
CHADRAMA OYEEEE
Wewe una akili ya wivu tu,kama una Nia njema ungeenda kwania njema kuomba taarifa unayoitaka kwania njema.Huna akili kabisa yaani aliyekuchangia ndiye afate taarifa ya mchango ofisini?
Huenda wanaogopa kodi?Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Ccm vipi? Uwazi wao upo sehemu gani michango ya royo tua mbona haijawekwa waziNashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Coco upopole na misukosukoCHADRAMA OYEEEE
Hilo zoezi mwisho wake ni lini eti?Bado zinakusanywa, mwisho wa zoezi utapata taarifa.
Mbowe kala michangoIla sio kama kile Cha panyaroad/chukua chako mapema
Wengine hata uendeshaji wa taasisi kubwa,bila chanzo Cha mapato,sijui kama hata mnalikumbuka Hilo,vyama viliporwa ruzuku Kwa Hila za wanachukua chako mapema,bado hapa wale wasio na Nia njema wanakuja na maneno ya kuwaonea wivu, taasisi inayomengi ya kufanya mbali na ujenzi wa taasisi,rasilimali watu inahitaji huduma,na pia kumbuka taarifa hizi zonakaguliwa hata na cag ,mbali yaHuenda wanaogopa kodi?
Hata hivyo siwatetei, na kwa kweli siyo kutotoa taarifa juu ya makusanyo aliyofanya Mbowe pekee, kuna michango mingi imefanyika na baada ya kuchangwa pesahakuna taarifa yoyote inayotolewa juu ya matumizi ya pesa iliyochangwa.
Kwa mfano: Bawacha waliitisha michango ya kuhudumia wategemezi wa wale makomandoo wakati ule. Haifahamiki kama wategemezi hao walifaidika na hela iliyochangwa ama vipi, maana hapakuwa na mrejesho wa aina yoyote.
Hii ni tabia mbaya ambayo CHADEMA inabidi waiepuke.
Kinachotakiwa, hata kama huwezi kutangaza kiasi kilichokusanywa, awali ya yote washukuru wote waliohusika katika kuchangia, pili, aelezea manufaa yaliyopatikana kutokana na pesa iliyochangwa. Si lazima utoe tarakimu au hata kutaja majina ya wanufaika, lakini kuna njia za kuonyesha kilichofanyika.
Kuna udhaifu fulani huko ndani ya chama.
cc: Erythrocyte.
Sio ameiongoza taasisi kupata michango ya wananchi na wanachama Ili kuendeleza taasisi tegemewa katika uhuru ,haki na maendeleo ya kweli Kwa raia wote?Mbowe kala michango
CAG anakagua michango iliyokusanywa kwenye mifuko ya rambo bila risiti kutolewa kwa aliyechanga?Wengine hata uendeshaji wa taasisi kubwa,bila chanzo Cha mapato,sijui kama hata mnalikumbuka Hilo,vyama viliporwa ruzuku Kwa Hila za wanachukua chako mapema,bado hapa wale wasio na Nia njema wanakuja na maneno ya kuwaonea wivu, taasisi inayomengi ya kufanya mbali na ujenzi wa taasisi,rasilimali watu inahitaji huduma,na pia kumbuka taarifa hizi zonakaguliwa hata na cag ,mbali ya
Sio ameiongoza taasisi kupata michango ya wananchi na wanachama Ili kuendeleza taasisi tegemewa katika uhuru ,haki na maendeleo ya kweli Kwa raia wote?
JAMANI WADAU MJIKITE KWENYE MJADALA MSIPANDISHAND JAZBA.Wameingia vipi hapa? We ni mpuuzi
Cocochanell alikuwa jela au?Coco upopole na misukosuko
Huyo kagonga Kangara imemzidi.JAMANI WADAU MJIKITE KWENYE MJADALA MSIPANDISHAND JAZBA.
Sio tena “Makonda oyeeee”? Keshatelekezwa mara?
Waliowengi wivu unawakereketa.Bila ruzuku wameweza je wakipata Hela🤔Nadhani mchakato bado unaendelea...
Kuwa na Subira watazungumza wakimaliza.
Nini unakuwa na haraka hvo,. Au hujauliza kwa nia nzuri???