Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Zimekusanywa mtaani,lakini taarifa ofisini,hivyo unashida ya taarifa nenda pale HQ, taarifa zote zinapatikana.Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Kwani mafisadi papa wa huo mtaa unao endakujikomba angalao uambulie vichenchi vya sigara huwaoni,mbona hawatoi hesabu zao.Wewe pimbi huna akili. Mnashindwa kuweka press release ? Kwanza huna akili kabisa zaidi ya kujikomba kwa fisadi namba moja. Utaolewa na waarabu.
Kama unajielewa povu lote la nini Sasa,kwani hujui uungwana ni vitendo?Mimi sio wa kujikomba kwa mafisadi. Najielewa.
Kwakuwa hata wale Sgang hawakuwa mafisadi sio🤸,kangala ya usiku usiku ni shida🏃Wapuuzi kama wewe mnaojikomba kwa wezi wa mali za umma sio wa kuchekea.
Watu wa KAYAFACHADRAMA OYEEEE
Bwashee wakitoa taarifa ya mapato na matumizi unitag, please!Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Na hilo ni jibu?Zimekusanywa mtaani,lakini taarifa ofisini,hivyo unashida ya taarifa nenda pale HQ, taarifa zote zinapatikana.
Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchunas
We kweli kichwani ni shida,unashangaa pesa zilizochangwa mchsna kweupe tena na chama Cha upinzani!lakini hushangshi Raisi wako kudai royal tour imechsngiwa na watz,ila kashindwa kuwataja!Wala kiasi kilichochangwa hakitajwi!Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
CHADRAMA OYEEEE
I thought you are already dead with Jiwe! Bado hujamguata Chato ukanyonyeCHADRAMA OYEEEE
Ccm bhana! Kwani Yale maburungutu aliyekuwa anatembea nayo magufuli barabarani yaliwekwa hadharani?Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Wapuuzi kama wewe mnaojikomba kwa wezi wa mali za umma sio wa kuchekea.
Ulichangia kiasi gani? Mbona huihoji CCM mapato yalikusanywa ba Serikali yake kucoka makamouni ya kibeberu ya tours kufanikisha royal tours? Au ile ni halali yako?Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Kwani kampeni imeisha? Subiri Baraza kuu ni keshokutwa tu watatoa mchanganuo wote mbona mna haraka sana vijana?Nashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.
Mbn lile jambo letu juma pili hukuhojii ni sh ngapi ila ya cdm ndo umelionaNashangaa sana mpaka napigwa na butwaa kubwa. Hivi pesa alizokusanya Mbowe mitaani akijoinisha watu ze chain ni siri?
Kwa nini zisitangazwe kiasi kilichopatikana na kuwapa morali wachangiaji?
Au ndio kale kamtindo kenu kanaendelea?
Wekeni mambo hadharani kujenga imani kwa wananchi.