Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Kwangu binafsi kila binadamu ana chembechembe za ushamba hata aishi mjini kiasi gani.Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
hahahahaaaa!Kuna mmoja huyo anakata bonge moja la tonge afu anaanza kuligawanya vipande vipande likiwa hapo hapo mkononi 😂
Mutu ya Mbeya hiyo.hivi lucas mwashambwa si mmoja wao kweli? aje kujibu tuhuma hivi
Mimi ni msukuma Ila sijawah kumpgia mtu simu nikaongea kwa Sauti, sitafuni chakula kwa Sauti, sijawah kukosea Namba afu nikalazimishaKwenye kula miwa ndo wananiachaga hoi
Shimba ya Buyenze mpwa njoo😃
Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimu😂😂😂Halafu hivi kweli kuna mahusiano gani kukosea namba na usukuma!!! Na ni wabishiii kweli🤣🤣
Ni kweli mnacare ila hayo mambo mnayo 😃😃Sasa kwann wazee wanaamkia had vijana wadogo jamni 😃Mimi ni msukuma Ila sijawah kumpgia mtu simu nikaongea kwa Sauti, sitafuni chakula kwa Sauti, sijawah kukosea Namba afu nikalazimisha
Why mnatujudge mmesahau sisi ni very caring
Alenyoo sana onyanda mwenoyo aletombina🤣Ntombanokobhoko
Ulsikia wapi hyo weweNi kweli mnacare ila hayo mambo mnayo 😃😃Sasa kwann wazee wanaamkia had vijana wadogo jamni 😃
Abhanyana balena tuja. Ubugota tubabyagije malumbu na bhake bhabho.Alenyoo sana onyanda mwenoyo aletombina🤣
Nimekaa usukumani 2yrs nimeamkiwa sawa had zingine kuitia naona aibuUlsikia wapi hyo wewe
Au una mwonekano wa kikubwa kuliko waoNimekaa usukumani 2yrs nimeamkiwa sawa had zingine kuitia naona aibu