Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

watu wanaoishi vijijini wanakuwa na uelewa mdogo wa mambo ya mjini hivyo huonekana washamba

sasa kwavile wasukuma wengi wanaishi vijijini mmekariri wote ni washamba

halafu mambo mengi mnayowasemea kama kutokujinyima chakula na kupenda kilugha chao si ushamba ni mtindo wa maisha tu
Hiyo kutokujinyima chakula umeiweka kitaalam sana mkuu😆 na umeandika Kwa hisia
 
watu wanaoishi vijijini wanakuwa na uelewa mdogo wa mambo ya mjini hivyo huonekana washamba

sasa kwavile wasukuma wengi wanaishi vijijini mmekariri wote ni washamba

halafu mambo mengi mnayowasemea kama kutokujinyima chakula na kupenda kilugha chao si ushamba ni mtindo wa maisha tu
Kuongelea Kilugha penye watu wengi ambao sio wa kabila lako haijakaa poa. Inakuwa kama mnawateta.
 
Kuna mmoja huyo anakata bonge moja la tonge afu anaanza kuligawanya vipande vipande likiwa hapo hapo mkononi 😂
Hiyo tunaita dabo difu....

W921.jpg


Na kuna triple entry. Ni wewe tu na roho yako.

Uzuri sema vyakula huwa ni vingi na mtu ni lazima ushibe. Ikitokea hamjashiba sawasawa chakula kinapikwa kingine. Na ye yote anakaribishwa kula hata kama ni mpita njia. Karibu Usukumani mkuu. Hutajuta! 😁😁😁👋👋👋

IMG-20230526-WA0000.jpg
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Bila shaka watakuwa ni ndugu hao
 
Kweli nimeamini Tz hii bila wasukuma haijakamilika asee. Mbona vitu ulivyosema wewe hata waha,wamasai,wambulu nk wako hivyo hata akikosea simu atalazimisha na haelewi Hadi ukate simu?
Manyanza
Wasukuma ni wengi kwahiyo wakifanya kitu wanaonekana kwa wingi sana, wingi wao unawabeba kwenye jambo liwe baya au zuri
 
Halafu hivi kweli kuna mahusiano gani kukosea namba na usukuma!!! Na ni wabishiii kweli🤣🤣
Mimi nimekupigia. Halafu unasema eti nimekosea namba. Ina maana mimi sina akili ama?

Jana tu nimezozana sana na jamaa anasema sijui eti wrong number wakati namba hiyo ilikuwaga ya pisi yangu mwaka mmoja na nusu tu uliopita. Sikutaka kumwelewa kabisa. Na leo nampigia tena mpaka kieleweke dadeki! 😁😁😁
 
Mimi nimekupigia. Halafu unasema eti nimekosea namba. Ina maana mimi sina akili ama?

Jana tu nimezozana sana na jamaa anasema sijui eti wrong number wakati namba hiyo ilikuwaga ya pisi yangu mwaka mmoja na nusu tu uliopita. Sikutaka kumwelewa kabisa. Na leo nampigia tena mpaka kieleweke dadeki! 😁😁😁
😀😀😀hii ipo sana
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Sawa mkuu, nyie tusemeni tu!
Yote kheri!
 
Back
Top Bottom