Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Ndiyo maana Watindiga mimi nawakubali sana. Wanakula nyama zao mbichi hawana shida na mtu halafu mtu anatoka huko na ustaarabu wake wa kizungu anaanza kuwaponda. Hovyo kabisa!Waswahili swqhili wengi ni wapumbavu sana ,,yaani jamii flani ikiamua kuishi katika tamaduni yake inaitwa washamba ,,wasukuma siyo washamba ila wameamua kuishi katika uhalisia wao hawataki kue dit maisha asa wee mjinga mjinga ndo unaona huo ndo ushamba,,,okay umeulizwa toa maaana ya ushamba ni nn unarukaruka tu ushuzi.