Maxwell jk
Member
- Jan 1, 2023
- 13
- 11
Waswahili swqhili wengi ni wapumbavu sana ,,yaani jamii flani ikiamua kuishi katika tamaduni yake inaitwa washamba ,,wasukuma siyo washamba ila wameamua kuishi katika uhalisia wao hawataki kue dit maisha asa wee mjinga mjinga ndo unaona huo ndo ushamba,,,okay umeulizwa toa maaana ya ushamba ni nn unarukaruka tu ushuzi.