Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
HapanaAu una mwonekano wa kikubwa kuliko wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaAu una mwonekano wa kikubwa kuliko wao
Hivi hamuwezi Ata kujiongeza kuona thamani yetu katika taifa hili Kila kada kubwa tumo afya ndo usiseme tumetake over, wachaga wanafuataNimekaa usukumani 2yrs nimeamkiwa sawa had zingine kuitia naona aibu
Wewe unachoita ushamba mwenzako anaita utamaduni.Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
It depends kama unajiweka kimadam lazima usalimiwe ujue huku Ata mtu wa unaemzdi mwez mmoja kuzaliwa anatakiwa akusalimieHapana
Kubalini ukweli yaisheIt depends kama unajiweka kimadam lazima usalimiwe ujue huku Ata mtu wa unaemzdi mwez mmoja kuzaliwa anatakiwa akusalimie
Aaaliyah Kila kabila Lina mapungufu mkuuKubalini ukweli yaishe
SawaAaaliyah Kila kabila Lina mapungufu mkuu
Sawa mpwa ndo mtu atafune muwa mrefu kunipita mm kweli😂😂😂
Abhanyana balena tuja. Ubugota tubabyagije malumbu na bhake bhabho ❌️Abhanyana balena tuja. Ubugota tubabyagije malumbu na bhake bhabho.
Alenyoo sana onyanda mwenoyo aletombina🤣 ❌️Alenyoo sana onyanda mwenoyo aletombina🤣
Amekupenda huyo.Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimu😂😂😂
A wap usumbufu tuAmekupenda huyo.
Acha tabia ya kushangaa watu wakiwa wanakula, utashinda njaa usukumani….!!Kuna mmoja huyo anakata bonge moja la tonge afu anaanza kuligawanya vipande vipande likiwa hapo hapo mkononi 😂
Na hawaoni noma kushangaa…..Ushamba kwa msukuma upo kwenye DNA kabisa
Ulitaka wahamie au wanunue ardhi wapi ndezi wewe na linchi lenyewe kubwaaaaa.Mie kama jirani yenu nawatahadharisha: Wasukuma wanaenea kwa kasi sana hapo Tz (Sukuma expansionism).
Wako kila mahala ya nchi yenu. Rukwa,Katavi, Tabora, Tanga, nimeshangaa hadi Singida wapo. Na wakifika sehemu na kuizoea kwa muda mfupi LAZIMA WANUNUE ARDHI. Baada ya miaka kadhaa kuna Makabila hayatakuwa na ardhi, maana kilimo wanaona ni ushamba. ARDHI YA TANZANIA ITAKUWA MIKONONI MWA WASUKUMA KWA 70%. Endeleeni kuwacheka kindezi.
Wanang'ata tonge Moja mara 250😆Wana kata matonge makubwa...😂😂
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...😃
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...🤣🤣
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...😝😝
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...🤨
Nakadhalika na kadhalika...