migatomvaningi
Member
- Sep 9, 2024
- 48
- 53
Ukajuaje ni msukuma?Mmoja made my day one day. Kakosea namba, alikuwa anampigia Monica, nikamwambia amekosea. Akakata simu, then akapiga tena. Eti "kama wewe sio Monica basi tufanye tu ndio Monica", nilicheka jamani🤣🤣🤣
Sisi wanaume wa kisukuma ni dhahabu madame Aaliyyah😂😂😂Dah
Atoto (Monica)bhana😅Mmoja made my day one day. Kakosea namba, alikuwa anampigia Monica, nikamwambia amekosea. Akakata simu, then akapiga tena. Eti "kama wewe sio Monica basi tufanye tu ndio Monica", nilicheka jamani🤣🤣🤣
Nkwela ayo ong'hwene nkoi nekageNzugu ng'waniki
Naneke buli? Adenkima?Nkwela ayo ong'hwene nkoi nekage
Nkima one ong'hwene nikage odelelagwa keyi nang'ho😅Naneke buli? Adenkima?
😂😂😂😂Kaona mambo yasiwe mengiMmoja made my day one day. Kakosea namba, alikuwa anampigia Monica, nikamwambia amekosea. Akakata simu, then akapiga tena. Eti "kama wewe sio Monica basi tufanye tu ndio Monica", nilicheka jamani🤣🤣🤣
Aguhaya weyi!Nkima one ong'hwene nikage odelelagwa keyi nang'ho😅
Hapana kwakweli 😃😃😃Sisi wanaume wa kisukuma ni dhahabu madame Aaliyyah
MUNGU kakupa chaguo lako sahihi toka usukumani ila unapuuzia kwa kutokumsikiliza jamaa😅
Mna muda mrefu munawasiliana sasa inatosha uwe mme na mke
Na ahidi kuwapa zawadi ya nyumba
Wewe hujui uhusiano uliopo kati ya Usukuma na ushamba; kwa hiyo wewe ni mjingaInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.
Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.
Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Where is your soul mate now?, umesema alikua msukuma 🙆♂️ ,wasukuma hoyee!My soul mate nae alikuwa msukuma. Wasukuma ni watu wema sana, nimeishi nao, nawajua.
Ewaaa mambo yangu haya, mwambie nipo "Siliasi" pia😀
Hapa sijui umenisifia ama umetukana ila sawa tu mkuu, hata kisukuma ntajifunza taratibu😀😀Nzugu ng'waniki
Tofautsha humility na ushamba.Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.
Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.
Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Tutakula mapera hadharani kwani tunamuogopa nani😀😀 wasukuma tuna confidence, ahsantee T..elyKula miwa/muwa huku natembea kumbe ni ushamba!!😅
Hii tabia ya kula miwa huku natembea huwa naipenda sana na sasa ni musimu wa mapela yameiva tunayala huku tunatembea
KARIBU financial services
Nimekuambia karibu mrembo.Ng'waniki(Binti)Hapa sijui umenisifia ama umetukana ila sawa tu mkuu, hata kisukuma ntajifunza taratibu😀😀
Okay 👍 nimekaribia bhabhaNimekuambia karibu mrembo.Ng'waniki(Binti)