Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba kwa wasukuma upo kwenye damu hata akizaliwa ulayaInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Niliamka kukujoa,nimecheka huku na usingizi! Lamomy asubuhi tuna kikao cha dharula hapa kuna hojaWana kata matonge makubwa...😂😂
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...😃
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...🤣🤣
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...😝😝
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...🤨
Nakadhalika na kadhalika...
Hata miimi sijaapenta kwaakweliAcha kutuchafua
Halafu hivi kweli kuna mahusiano gani kati ya kukosea namba na usukuma!!! Na ni wabishiii kweli🤣🤣angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekoseaK
SiyoInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
SIYO USHAMBA WASUKUMA WANAJIANINI.NDO MAANA WANAONGEA KWA SAUTI. HAWALINGI NA HAWATISHIKI HAWANA ULIMBUKENI WANAPENDA LUGHA YAO. UKWELI NA UWAZI. KAMA HUO NI USHAMBA BASIInawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda ,ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria flani kuonyesha kuwa ni mshamba nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki, angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Acha ushamba sasa unatukana ili iwaje sasa.Nywanoko
Wanapenda sana kuvaa mashati ya kitenge, suruali ya kitambaa na Ile miwani nyeusi za kuchomelea.
Deborah kakuwahi kajichukulia msukuma wake safi kabisaAisee 😀 😀 ila mimi nawapenda wasukuma jamani naona ni husband materials hawana mambo mengi😀
Humu humu ndani? wasukuma njooni tuunganishe undugu na mimi pia😛Deborah kakuwahi kajichukulia msukuma wake safi kabisa
Kamuokota kitaa msukuma mmoja mpole kinoma ila kwa ushamba hajamboHumu humu ndani? wasukuma njooni tuunganishe undugu na mimi pia😛
ila matusi ya kisukuma bwana😂Acha ushamba sasa unatukana ili iwaje sasa.
Jibu hoja kwq hoha sio matusi. Mkiambiwa wasukuma nyie washamba mnakimbilia kutukana.