Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?


Aliyeleta pendekezo kati yenu ndiyo mwenye mpango muovu juu ya mwenzake.otherwise kila mtu ahamie hapo akiwa na mkewe au mumewe tayari yaani familia mbili zinashare nyumba moja.Hakuna vitu ninajitahidi kuviepuka vinavyowezapelekea kurahisisha maswala ya uzinzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…