Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Tena umepatia kwa kiwango cha juu sana.wewe unafaa sana mkuu.inawezekana ulishawahi kuishi maisha hayo.hebu nipe uzoefu kidogo
Hahahahaha unataka niendeleee ...

Jibu tu inawezekana mkiwa marafiki haswa tena washikajii na mnajuana mambo yenuu
 
Mtu mwenyewe anaezungumziwa hapa ni mimi ila mleta mada hata hajui
🤣🤣kumbe ni wewe eee sasa we ngoja tena nitakuanzishia visanga vya makusudi ilimradi tukulane kimasihar..

Tena ile style ya kisigino ni begani itakuwa introduced siku hi-yo🤣🤣🤣
 
 
Hahahahaha unataka niendeleee ...

Jibu tu inawezekana mkiwa marafiki haswa tena washikajii na mnajuana mambo yenuu
Popote ulipo..kunywa chochote nakuja kulipa🥰🥰🥰
 
Reactions: Lee
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…