- Thread starter
- #21
Asingekuwepo shetani mabaya yasingekuwepo maana tatizo lilianzia EDENWangekuja kwasababu watu wangetakiwa kujua namna ya kufanya ibada zao na kujua madhara ya Kutofanya mema na faida ya kufanya mema
Manabii walikuja baada ya kuona hali sio nzuri