Sawa mkuu nashukuru umenipa mwangakama elimu yako haileti ugali mezan na hailipi bills ni bure, aliniambia mzee mmoja hivi na nilimuelewa sana.
Karibuni sana mkuuGreat tena Accountant huko ndio panapokufaa huwez kupata hasara muhasibu km wew...tutakuja kukuungishaga
Usicheke mkuu! Ombea yasikukute haya watu wanaokusimuliaAisee [emoji2][emoji2][emoji2],,
Kabisa mkuu kuna muda hakuna njia nyingine zaidi ya kujitoa akiliMtaani mtu unafanya mambo ambayo hata ukawazaga uja kuyafanya.
Ili life lisonge,lazimanujitoe akili.
Usicheke mkuuDegree kama degree [emoji23][emoji23][emoji23]
Pambana dogo, wenzio tulishasahau hata kama tuliwahi kuwa wanafunzi wa Dr Bashiru hapo UDSMππππTunapiga deal za darasa la Saba yetu yanakwendaLeo umeamua kunipa wa maana sana! Shukurani mkuu, umeniongezea ujasiri
Sicheki mkuu,, nakushangaa tu na degree yako nzuri ya accounting unataka ukawe machinga mbezi mwisho ππ ( am kidding)....pambana bhana watu ndo tuko hivihivi hatuelewekagi usituonee aibu ππUsicheke mkuu! Ombea yasikukute haya watu wanaokusimulia
Sawa mkuu nitaitumia vyema elimu yanguPale ukitumia elimu yako utapata zaidi na watahisi una kizizi
Sawa mkuu ngoja nikajichanganye na darasa la sabaPambana dogo, wenzio tulishasahau hata kama tuliwahi kuwa wanafunzi wa Dr Bashiru hapo UDSM[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tunapiga deal za darasa la Saba yetu yanakwenda
Sawa mje mniungishe sasaSicheki mkuu,, nakushangaa tu na degree yako nzuri ya accounting unataka ukawe machinga mbezi mwisho [emoji2][emoji2] ( am kidding)....pambana bhana watu ndo tuko hivihivi hatuelewekagi usituonee aibu [emoji2][emoji2]
Usiwe na wasiwasi mkuu tuko pamoja πππΌSawa mje mniungishe sasa
Dah ππKama una aibu akija mtu unamfahamu jigeuze kua mteja..