Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless?

Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?
20240614_080953.jpg
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha ?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana ?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini ? Mzazi kutojitambua ama nini ? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae ? Au tatizo ni mtoto mwenyewe ?View attachment 3016950
Inategemea yeye alienda soma Nini digrii
 
Namfahamu m1, yeye alisoma kuanzia primary had Sec (O & A) shule ya kulipia, chuo akaenda SUA.

ila mzazi wake alimpa mtaji, akafungua biashara ya uwakala wa miamala ya pesa, kaendesha hovyoo imekata.

Sahivi yupo tyuu, kula kulala, kutwaaa kuzurura mtaani.
 
Mimi nimesoma shule za serikali zile za chini sana. Usisikie maneno ya wakosaji, sijawahi ona mtu kasoma private za gharama kubwa alafu analia njaa. Labda afanye makusudi kama kuvuta bangi na kuendekeza pombe.
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha ?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana ?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini ? Mzazi kutojitambua ama nini ? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae ? Au tatizo ni mtoto mwenyewe ?View attachment 3016950
IMG-20240607-WA0068.jpg
 
Jobless ni state ya kutokuwa na kazi, hata uwe na kazi leo kwaida kesho kutokuwa na kazi.

Kuwa na kazi mbona sio kitu endelevu kwamba ukipata umepata mimi nina kazi leo ila siku nitakuwa jobless, siku na kazi.

Neno jobless hua mnalichukuliaje, kwamba kisa mtu kasoma ndio anapofanya kazi afukuzwi tena, kampuni haifi, hawaounguzwi kazi, Corona haiathiri.
 
Wapo wengi tu. Kama nchi haiwezi kuzalisha Kazi za kutosha, unafikiri private educated wana soko lao la ajira?

Haiwezekani wote wajiajiri. Labda tofauti tu hawa wana networks kupitia kwa wazazi wao na pia wanaweza kupewa pesa ili waanzishe biashara.
Lakini kwa ujumla wapo vijana waliosoma vizuri kabisa na bado Hawana ajira.
 
Namfahamu m1, yeye alisoma kuanzia primary had Sec (O & A) shule ya kulipia, chuo akaenda SUA.

ila mzazi wake alimpa mtaji, akafungua biashara ya uwakala wa miamala ya pesa, kaendesha hovyoo imekata.

Sahivi yupo tyuu, kula kulala, kutwaaa kuzurura mtaani.
Mbona kama unanisema mimi🙄
 
Elimu ni ufunguo wa maisha ( elimu ziko nyingi), Shule za sasa hivi ni miradi ya watu kama ilivo hizi dubu.
Mimi nilienda kurepair darasa linaitwa ICU ilo ni spesho kwa watoto wasio elewa.. kumbuka wanalipiwa ada na madaftari yao yana tiki kila page。
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha ?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana ?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini ? Mzazi kutojitambua ama nini ? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae ? Au tatizo ni mtoto mwenyewe ?View attachment 3016950
Maisha hayana formula!!
 
Kuna tofauti ya kwenda shule na kuelimika. Hiyo haijalishi umehudhuria shule ya umma au binafsi.

Baada ya hapo kutumia Elimu Yako mtaani ni muamala mwingine kabisa.
Huko shule za binafsi kunapatikana ujasiri, kujuana na watu wa familia flani n.k

Lakini usipochukua hatua binafsi za kimakusudi, hayo mambo hayaambukizwi, utabaki kusema yule tumesoma nae, nimesoma shule flani lakini hauna kitu cha kukunufaisha kwenye maisha.

Kuna watu wameenda shule na hawana kitu, Kuna watu hawajaenda shule wako na utajiri balaa.

Izingatiwe tofauti ya kwenda shule, kusoma na kuelimika.
 
Back
Top Bottom