Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless?

Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless?

Sijakuelewa, wa njiapanda ni kijana mdogo sana anasema alisema amezaliwa 2004 kama sio 2006 hivi,
Naona yuko sawa sana na anauwezo mzuri darasani hadi international school wakamsomesha bure sehemu ambayo wanalipa hadi milioni 30 kwa mwaka.
Aache kusoma huko akasome shule za kawaida kwani ndiyo kuna uhakika wa ajira?
Basi tumepishana kidogo hapa. Mm nilikuwa narejelea kilio cha Irene Uwoya ambaye alikuwa analalamikia kushindwa kuendelea kulipa ada kubwa kwenye international school. Ambapo akadai mwanaye kamshuri amhamishe lkn yeye Uwoya anaona itakuwa siyo sawa.
 
Basi tumepishana kidogo hapa. Mm nilikuwa narejelea kilio cha Irene Uwoya ambaye alikuwa analalamikia kushindwa kuendelea kulipa ada kubwa kwenye international school. Ambapo akadai mwanaye kamshuri amhamishe lkn yeye Uwoya anaona itakuwa siyo sawa.
Hiyo ya Uwoya siifahamu, nilikuwa nasemea ya jumapili mtoto mmoja mzaliwa wa huko Mara nadhani.
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Kwani huko kwenye shule za kulipia wanachosoma ni connected na ajira.
 
Private ipi? Kuna private na private. Mtu asome IST ama Feza halafu akose kazi? Hivi unajua connection ya kazi inaanzia darasani kwako? Unasoma na akina nani? Wazazi wao wana kazi gani?

Sasa wewe umesoma shule ya private ya kihuni, ada milioni 2 kwa mwaka, unaita private? Wazazi wanaolipia hiyo ada wengi choka mbaya, hivyo hawana connection kwa watoto wao.
Mi sijasoma private mkuu
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Usikariri maisha,alicho nacho kichwani kwake na maisha anayoishi ni mepesi kuliko wale kayumba waliotumia muda wao mwingi chimbo😁
 
Watanzania ni wasahaulifu sana[emoji35]
Ina maana huyu mtoa mada kasahau kwamba mwaka 2015 kurudi nyuma shule zote za sekondari zilikuwa za kulipia?

Anasahau kwamba shule zote iwe serikali au binafsi zilikuwa na ada na michango mingine...na ... Hiyo maana yake n kulipia?

Au bado anamezwa na neno KULIPIA lililokuwa linatumiwa enzi za mwalimu wakati shule za umma zote kusoma ilikuwa bure[emoji848][emoji1787]
 
Namfahamu m1, yeye alisoma kuanzia primary had Sec (O & A) shule ya kulipia, chuo akaenda SUA.

ila mzazi wake alimpa mtaji, akafungua biashara ya uwakala wa miamala ya pesa, kaendesha hovyoo imekata.

Sahivi yupo tyuu, kula kulala, kutwaaa kuzurura mtaani.
msalimie sana
 
Mi namfahamu mmoja, kazi hana ila bado maisha mazuri anayo maana wazazi walijipanga kwelikweli, nafikiri wazazi wake walitafuta hadi za vitukuu, nyumba ya masaki wameivunja wametengeneza nyumba za kupangisha tatu na kila mpangaji analipa dola 800/month
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Mbona wapo wengi tu, wengine ni walinzi
 
Shule ya kulipia? Kulipia bei gani??

Maana kuna shule wanalipana kwa kilo za mchele na magunia ya mahindi wanapokea.
Huna cash peleka kiroba cha mchele, huna cash peleka kuni vipi na hao pia wako humo au mnawaongelea hawa wa Feza, Tanganyika na st Francis??.
 
Pole aiseh!

Kuna baadhi ya skills unazitumia kwenye huo udalali na ulizipata chuo hasa Lugha na psychology kuwasoma wateja!Endelea Hadi ufungue kampuni ya udalali!!

Utajiri hauna kazi maalum ya kuanzia,popote pale!

Big up!
 
Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?

Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?

Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Huyo anajikweza! Hakuna jobless hata mmoja aliyesoma shule za kishua. Labda awe na biashara kali tena kubwa inayozalisha au anafanya telework na haishi kupaa majuu! Vijana punguzeni kujikweza na masifa! Mnajiharibia wenyewe! Kwanza wanaosoma hizo shule Mama zao na Baba zao ni Vigogo na Vibopa.

Wataishiaje kwenye udalali?! Labda wafungue kampuni za udalali ambazo zitaendeshwa kisomi zaidi na teknolojia mpya ya kujua watu wa dunia hii ya leo wanataka nini.

Namfahamu mmoja alifanya kazi Stanbic bank miaka takribani mitano mpaka nane kama sikosei, alikuwa na nafasi nzuri sana! Kama hakuwa head of credit, basi alikuwa mtu wa marketing... Akafungua kampuni yake ya Real estates agency, Mbezi beach huko.... akawa anapiga kazi na mabenki kusongesha collateral za wateja pindi walipokuwa wanachukua mkopo. Ana connection za BM's wa benki kibao nchini, deal zote za kusongesha mali za walioshindwa kulipa madeni ya benki anapewa mchizi. Juzi kati nikaona kapiga picha na C.E.O wa TANZANIA COMMERCIAL BANK (T.C.B) nikasema hapa kuna jambo.

Jamaa ana pesa hatari!
 
Back
Top Bottom