Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Wewe umesema kweliMimi nimesoma shule za serikali zile za chini sana. Usisikie maneno ya wakosaji, sijawahi ona mtu kasoma private za gharama kubwa alafu analia njaa. Labda afanye makusudi kama kuvuta bangi na kuendekeza pombe.