Basi tumepishana kidogo hapa. Mm nilikuwa narejelea kilio cha Irene Uwoya ambaye alikuwa analalamikia kushindwa kuendelea kulipa ada kubwa kwenye international school. Ambapo akadai mwanaye kamshuri amhamishe lkn yeye Uwoya anaona itakuwa siyo sawa.Sijakuelewa, wa njiapanda ni kijana mdogo sana anasema alisema amezaliwa 2004 kama sio 2006 hivi,
Naona yuko sawa sana na anauwezo mzuri darasani hadi international school wakamsomesha bure sehemu ambayo wanalipa hadi milioni 30 kwa mwaka.
Aache kusoma huko akasome shule za kawaida kwani ndiyo kuna uhakika wa ajira?
Hiyo ya Uwoya siifahamu, nilikuwa nasemea ya jumapili mtoto mmoja mzaliwa wa huko Mara nadhani.Basi tumepishana kidogo hapa. Mm nilikuwa narejelea kilio cha Irene Uwoya ambaye alikuwa analalamikia kushindwa kuendelea kulipa ada kubwa kwenye international school. Ambapo akadai mwanaye kamshuri amhamishe lkn yeye Uwoya anaona itakuwa siyo sawa.
Kwani huko kwenye shule za kulipia wanachosoma ni connected na ajira.Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Unafuu wake ni upi weka madini watu wajifunze.wapo ila kuna nafuu zaidi kuliko shule za serikali
Mi sijasoma private mkuuPrivate ipi? Kuna private na private. Mtu asome IST ama Feza halafu akose kazi? Hivi unajua connection ya kazi inaanzia darasani kwako? Unasoma na akina nani? Wazazi wao wana kazi gani?
Sasa wewe umesoma shule ya private ya kihuni, ada milioni 2 kwa mwaka, unaita private? Wazazi wanaolipia hiyo ada wengi choka mbaya, hivyo hawana connection kwa watoto wao.
Usikariri maisha,alicho nacho kichwani kwake na maisha anayoishi ni mepesi kuliko wale kayumba waliotumia muda wao mwingi chimboπHivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Boss wewe umesoma zipiPrivate za milioni 1 au 2 kwa mwaka siyo private hizo. Wanaosoma humo wametoka familia za polisi, madaktari, walimu, wavuvi na wakulima. Watakupa connection gani hawa?
msalimie sanaNamfahamu m1, yeye alisoma kuanzia primary had Sec (O & A) shule ya kulipia, chuo akaenda SUA.
ila mzazi wake alimpa mtaji, akafungua biashara ya uwakala wa miamala ya pesa, kaendesha hovyoo imekata.
Sahivi yupo tyuu, kula kulala, kutwaaa kuzurura mtaani.
Mbona wapo wengi tu, wengine ni walinziHivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Sexless ππBoss wewe umesoma zipi
wengi wanaoenda private walezi wao nao wameajiriwa, wana vyeo, n.k. ni rahisi kuwapigia watoto wao connection za ajira.Unafuu wake ni upi weka madini watu wajifunze.
π π, Mimi natoa changamoto tu, kusoma kwangu naomba ibakie kuwa siriSexless ππ
Sawa naheshim maamuzi yakoππ π, Mimi natoa changamoto tu, kusoma kwangu naomba ibakie kuwa siri
Huyo anajikweza! Hakuna jobless hata mmoja aliyesoma shule za kishua. Labda awe na biashara kali tena kubwa inayozalisha au anafanya telework na haishi kupaa majuu! Vijana punguzeni kujikweza na masifa! Mnajiharibia wenyewe! Kwanza wanaosoma hizo shule Mama zao na Baba zao ni Vigogo na Vibopa.Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950