Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Wewe umesema kweliMimi nimesoma shule za serikali zile za chini sana. Usisikie maneno ya wakosaji, sijawahi ona mtu kasoma private za gharama kubwa alafu analia njaa. Labda afanye makusudi kama kuvuta bangi na kuendekeza pombe.
Wapo sana, but most of them wana miss concept of education. The idea ilikuwa ni kukuoa knowledge sio kukupa kazi.Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Angeenda kusoma chuo UK or USAHivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
We jamaa unaonekana una vituko sana! ππππElimu ni ufunguo wa maisha ( elimu ziko nyingi), Shule za sasa hivi ni miradi ya watu kama ilivo hizi dubu.
Mimi nilienda kurepair darasa linaitwa ICU ilo ni spesho kwa watoto wasio elewa.. kumbuka wanalipiwa ada na madaftari yao yana tiki kila pageγ
Ilo ni tukio la kweli mkuuWe jamaa unaonekana una vituko sana! ππππ
Wewe umeweka wazi mambo na umeelezea kwa ufanisi mkubwa ingawa ni maneno machache.Private ipi? Kuna private na private. Mtu asome IST ama Feza halafu akose kazi? Hivi unajua connection ya kazi inaanzia darasani kwako? Unasoma na akina nani? Wazazi wao wana kazi gani?
Sasa wewe umesoma shule ya private ya kihuni, ada milioni 2 kwa mwaka, unaita private? Wazazi wanaolipia hiyo ada wengi choka mbaya, hivyo hawana connection kwa watoto wao.
Kumbe hizi teremka tukazeπ... Hapo sawa!Mleta mada anasemea private za kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3]Zao la private linazidi kumwagika kitaaa! 2030 kutakuwa na bodaboda wanatema yai kama wapo ubalizini.
Mkikwaruzana barabarani ni vita kama ya ma-black Americans na bunduki wanakutolea ππZao la private linazidi kumwagika kitaaa! 2030 kutakuwa na bodaboda wanatema yai kama wapo ubalizini.
Inawezekana kabisa na wala sio jambo la kushangaza
Tatizo ni wahitimu ni wengi kuliko ajira πHivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Wajinga wachache huwa wapoNamfahamu m1, yeye alisoma kuanzia primary had Sec (O & A) shule ya kulipia, chuo akaenda SUA.
ila mzazi wake alimpa mtaji, akafungua biashara ya uwakala wa miamala ya pesa, kaendesha hovyoo imekata.
Sahivi yupo tyuu, kula kulala, kutwaaa kuzurura mtaani.
Tena hao ndo wengi uki compare Na ambao walisoma za kawaidaHivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless maana hii inafikirisha?
Iwe shule ya msingi ama sekondari au hata chuo na bado akawa jobless hii inawezekana?
Na kama ni ndio tatizo linakuwa nini? Mzazi kutojitambua ama nini? Au anafanya gambling kwenye mafanikio ya mwanae? Au tatizo ni mtoto mwenyewe?View attachment 3016950
Hadi anasoma private maana yake huyo anatoka familia yenye pesa hivyo ana network ya pesa huyo hata akikwama ajira anawekwa kwenye miradi ya familiaMimi nimesoma shule za serikali zile za chini sana. Usisikie maneno ya wakosaji, sijawahi ona mtu kasoma private za gharama kubwa alafu analia njaa. Labda afanye makusudi kama kuvuta bangi na kuendekeza pombe.
Hii ili watu ama jamii igeukie kugharimikia elimu ,wakaja na ukiona elimu ghali jaribu ujinga.Education is better than....