Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Huyo naye ni mjinga kama wewe tu.Halimi.Huwa anawatumia watu fedha walime.Kwa ufupi huwa ananunua.Mkuu mbona una fikra za kimasikini? So masanja anavyosema analima mpunga kwa mawazo yako unadhani anashika jembe mwenyewe?
Kuna uwezekano mkubwa haujui lugha au hauna uzoefu wa kujadiliana kwa akili.Mimi nimemaanisha kufika sio kuishi, mtu akiamua kuishi ni maamuzi yake.
Mimi ni yule mlalahoi hebu nihurumieKwa hiyo mpwa leo hupajui Dar?π
Yaani hupajuia kwa Msuguri, Kibanda cha Mkaa?
π€£ Kumbe unalala hoi?Mimi ni yule mlalahoi hebu nihurumie
Watajifunza mumo kwa pale.Uzoefu kazini.Hata wenye mji /wazaramo wenyewe hawajui kuvuka ile Ubena-Zomozi.Nyie wa mikoani kabla ya kuja Dar hakikisheni mnajua kuvuka barabara zenye njia nane na SGR.
Una ujima mwingi mkuu, so bhakresa anavyosema ni mzalishaji mkuu wa ngano Tz yeye ndio anaeoperate machine za kiwandani? Una umaskini wa fikra na akili.Huyo naye ni mjinga kama wewe tu.Halimi.Huwa anawatumia watu fedha walime.Kwa ufupi huwa ananunua.
Wewe bado una mambo ya kizamani ya kishamba ya kuringishiana kufika mkoa flani.Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Huwa anakudanganya.Yeye ni mfadhili tu wa kutoa fedha.Ingia kiwandani utawaona wanaozalisha bidhaa wakiwa mitamboni.Amka wewe ngosha!Una ujima mwingi mkuu, so bhakresa anavyosema ni mzalishaji mkuu wa ngano Tz yeye ndio anaeoperate machine za kiwandani? Una umaskini wa fikra na akili.
Haya sawaWatajifunza mumo kwa pale.Uzoefu kazini.Hata wenye mji /wazaramo wenyewe hawajui kuvuka ile Ubena-Zomozi.
Mkoa unanuka.Ameulizwa kuhusu Kwa Mpalange anapiga chenga kama simbilisi.
Kufanya Nini mkuu?Nimewaza tuu eti Kuna watu mpo humu mnaisikia Dar redioni tuu?
How come? Yani una miaka 30 plus dar hujawahi kufika??
Cha muhimu ushafika mrembo.Mkoa unanuka.
Kutembea.Kufanya Nini mkuu?
Hadi watu wamechanganyikiwa.Kila muda kugombana kwenye madaladala.Mkoa unanuka.
Kajamaa kabishi wewe ni muha nini.Huwa anakudanganya.Yeye ni mfadhili tu wa kutoa fedha.Ingia kiwandani utawaona wanaozalisha bidhaa wakiwa mitamboni.Amka wewe ngosha!
Kuwa mueleweshaji wa vimtu vijinga kuna shida gani?Kajamaa kabishi wewe ni muha nini.
Kwa akili hizo baki huko huko namtumbo.Kuwa mueleweshaji wa vimtu vijinga kuna shida gani?
Bora aisee kuliko kukaa kwa wasugunsu washosha ng'ombe nao wanakuwa mang'ombe!πππKwa akili hizo baki huko huko namtumbo.