Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #21
Yule wa mbeya?Kuna mtu mmoja mkali sana anaitwa Christopher Mwahangila nenda kamsikilize
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule wa mbeya?Kuna mtu mmoja mkali sana anaitwa Christopher Mwahangila nenda kamsikilize
Kuna watu mna utani sanaRose Muhando
Yote sawa mkuuNi kwasababu umeharibu kuwafananisha na wengine embu jaribu kuwatazama Kama manabii kua kila mtu amebeba ujumbee wake kwa wakati wakee utagundua kila muimbaji ana upako na baraka zake kwa nyakati na majira tofauti.
Ingawa sikupingi hakutakuweko na Angela Chibalonza mwingine Wala Fanuel Sedekia mwingine
AjaliHivi nini kilichomuua?
Watu wazuri huwa wanaondoka mapemaAjali
NDIO MKUU KUNA NABII NA ZAMA ZAKE NI SUALA LA MUDA TU WATATOKEA WASANII WAKALI ZAIDI YA HAO
ILA KWA UPANDE WANGU NAMKUBALI SANA CHRISTINA SHUSHO ZAIDI YA CHIBALONZA
Ajali ya gariHivi nini kilichomuua?
Ndyo huyu ndo [emoji146] wa Gospel nchini [emoji1241].Kuna watu mna utani sana
Ambwene mwasongwe
Emachichi
Chidumule
Pastor ushindi
Pastor abiud
Bonus;....ambasada ofu kristi..
Takbiir. Inallah Maswabirina!Angel Chibalonzi ilikuwa ni karama ya rohoni haswa, licha ya uimbaji, nahisi alikuwa na kitu kingine cha rohoni Mungu ameweka.
Sedekia pia ni mzuri mno.
Abiud ni moja ya waimbaji bora kbs aliyebakia. Nyimbo zake nyingi zipo rohoni mno.
Mm nampenda sana Abiud na Chibalonza kuwasikiliza.
John Lissu bila vyombo hawezR.I.p sizani kama watatokea
Ila kuna hawa wakali wengine:
Upendo Nkone
John Lisu
Ambwene Messenger
Lakini kwanini Angela kaondoka.mapema sana? Halafu fanuel sedekia mwishoni mwa jina lake walikuwa anaandika Tm ilikuwa na maana gani?Angel Chibalonzi ilikuwa ni karama ya rohoni haswa, licha ya uimbaji, nahisi alikuwa na kitu kingine cha rohoni Mungu ameweka.
Sedekia pia ni mzuri mno.
Abiud ni moja ya waimbaji bora kbs aliyebakia. Nyimbo zake nyingi zipo rohoni mno.
Mm nampenda sana Abiud na Chibalonza kuwasikiliza.
Rose Muhando wa kabla ya 'Nibebe'Rose Muhando
SadAjali ya gari
Kweli shusho walikuwa vizuri ila naona siku hizi skendo zinamuharibia
Anakwambia kamata pindo la yesu shikilia hahahahNdyo huyu ndo [emoji146] wa Gospel nchini [emoji1241].