Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rose hyu hyu anaebugia unga?? Acha utani mzee.Rose muhando ni funga kazi ya hao wote naombeni namba ya christina shusho huyo mama mzuri sana .bukuku cheusi dawa aliyejichubua asalaam sleykhum.ambwene mwasonge baba lao
Usichanganye habari hapa tunaongelea kipaji sio tabia,tupac alikuwa muhuni sana ila kipaji chake hakina mfanoRose hyu hyu anaebugia unga?? Acha utani mzee.
Huyu Ni mkongo aliishi kenya.mumewe Ni Elisha muliri na walikuwa na WATOTO.Naomba kujua kama chibalonza aiiacha watoto au mume
Walikuwa RAIA wa nchi gani naskia Congo ,wengine wanasema ni mrundi
Mumewe alikuwa alikuwa Elisha muliri, nabii kanjanja ana kanisa kinondoni na moshi.kuna siku ntaanzisha Uzi wa huyu jamaaHuyu Ni mkongo aliishi kenya.mumewe Ni Elisha muliri na walikuwa na WATOTO.
Huyu Elisha muliri Ni nabii wa ajabu ajabu, ana makandokando ya kumwaga, ana kanisa kinondoni na Moshi. Kanisa lake linaitwa Ebenezer, ana kipindi sibuka fm. Ila be extra carefully na huyu nabii
[emoji1] [emoji1] mkuu umeamua tu kuwa mjeuriUsichanganye habari hapa tunaongelea kipaji sio tabia,tupac alikuwa muhuni sana ila kipaji chake hakina mfano
Mimi Ambwene Mwasongwe napenda sana utunzi na uimbaji wake, namkubali Sara K, na naukubali sana wimbo wa Goodluck wa - Nipe kukumbuka wema wako. Ni wimbo ambao nausikilizaga karibu kila siku toka umetokaNDIO MKUU KUNA NABII NA ZAMA ZAKE NI SUALA LA MUDA TU WATATOKEA WASANII WAKALI ZAIDI YA HAO
ILA KWA UPANDE WANGU NAMKUBALI SANA CHRISTINA SHUSHO ZAIDI YA CHIBALONZA
Ndio kina nani hawa?Ambwene mwasongwe
Emachichi
Chidumule
Pastor ushindi
Pastor abiud
Bonus;....ambasada ofu kristi..
Angela nilikuwa namkubali sana ila sijui gospel nyingi so siwezi sema ndio mkali kuliko wote..pia namkubali sana Christina shusho na yule wa kenya, alieimba 'siwezi jizuia' nimemsahau jina..
kwahiyo mama akaolewa na tapeli aka nabii?Huyu Ni mkongo aliishi kenya.mumewe Ni Elisha muliri na walikuwa na WATOTO.
Huyu Elisha muliri Ni nabii wa ajabu ajabu, ana makandokando ya kumwaga, ana kanisa kinondoni na Moshi. Kanisa lake linaitwa Ebenezer, ana kipindi sibuka fm. Ila be extra carefully na huyu nabii
wataje mkuu hao walkuwa noma kweli walikubalika hata walipokuwa haiMbona unawaoverrate sana au kwavile wamekufa, mbona wapo wengi wa kuwazidi
Wamewahi kukubalika kuliko Rose Muhando? Shusho? Bukuku?wataje mkuu hao walkuwa noma kweli walikubalika hata walipokuwa hai
walikubalika hata kabla ya rose muhando kwa taarifa yako...Wamewahi kukubalika kuliko Rose Muhando? Shusho? Bukuku?