Hivi Kwa hii Ada ya Udaktari, watoto wa Masikini watatimiza ndoto zao kweli?

Hivi Kwa hii Ada ya Udaktari, watoto wa Masikini watatimiza ndoto zao kweli?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh. Milioni 15.

Sasa najiuliza kwa watoto masikini ambao Ada tuu ya shule ya shule za Kata ziliwashinda, hivi watatimiza ndoto zao kweli za kuwa madaktari?

Maana hiyo Ada ya milioni Tatu Kwa mwaka sio lelemama kwa Watanzania masikini, Serikali iliangalie Jambo hili.

Ni akheri itoze Ada huku chini alafu Kwa watakobahatika kufika vyuo kusomea taaluma wasome bure, kuliko kusoma elimu ya sekondari bure ambayo hata ukimaliza hauna taaluma yeyote, na kuwalipisha wanaosomea taaluma au fani.

Serikali isomeshe bure madaktari na fani zingine nyeti ambazo hazina Wataalamu wengi. Kama ikishindwa itoe mikopo 100% .

Karibuni Kwa mjadala.
 
Kwema Wakuu!

Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh. Milioni 15.

Sasa najiuliza kwa watoto masikini ambao Ada tuu ya shule ya shule za Kata ziliwashinda, hivi watatimiza ndoto zao kweli za kuwa madaktari?

Maana hiyo Ada ya milioni Tatu Kwa mwaka sio lelemama kwa Watanzania masikini, Serikali iliangalie Jambo hili.

Ni akheri itoze Ada huku chini alafu Kwa watakobahatika kufika vyuo kusomea taaluma wasome bure, kuliko kusoma elimu ya sekondari bure ambayo hata ukimaliza hauna taaluma yeyote, na kuwalipisha wanaosomea taaluma au fani.

Serikali isomeshe bure madaktari na fani zingine nyeti ambazo hazina Wataalamu wengi. Kama ikishindwa itoe mikopo 100% .

Karibuni Kwa mjadala.
Kusoma, Umaskini na Udaktari Ni vitu vitatu tofauti
 
Kwema Wakuu!

Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh. Milioni 15.

Sasa najiuliza kwa watoto masikini ambao Ada tuu ya shule ya shule za Kata ziliwashinda, hivi watatimiza ndoto zao kweli za kuwa madaktari?

Maana hiyo Ada ya milioni Tatu Kwa mwaka sio lelemama kwa Watanzania masikini, Serikali iliangalie Jambo hili.

Ni akheri itoze Ada huku chini alafu Kwa watakobahatika kufika vyuo kusomea taaluma wasome bure, kuliko kusoma elimu ya sekondari bure ambayo hata ukimaliza hauna taaluma yeyote, na kuwalipisha wanaosomea taaluma au fani.

Serikali isomeshe bure madaktari na fani zingine nyeti ambazo hazina Wataalamu wengi. Kama ikishindwa itoe mikopo 100% .

Karibuni Kwa mjadala.
Pamoja na hizo gharama Anatakiwa pia atambue anachosomea ni huduma sio biashara.

Atapewa leseni ya kutoa huduma, ambayo hiyo leseni atailipia kila mwaka.
 
Kiongozi kwani ni lazima kusomea udaktari,,,,,lazima ifike mahali muwaeleze watoto wenu ukweli,,,,anasoma udaktari ili iweje??,,kipi kimemsukuma kusomea udaktari??,,,isije kuwa anasoma akidhani kwenye udaktari ndo kwenye maisha!!!,,,udaktari ni wito na wito wowote there is a price to pay!!!!
Udaktari ni investiment isiyo endana na marejesho yake kama shirika la umeme😬, zingatia kusoma kwa 35millions to 50millions then unakuja kulipwa mshahara wa chini ya 1.5million na ukitoa marejesho ya mkopo na makato mengine unaishia kupokea kati ya 800k to 900k ndani ya miaka 15_17good years😁😁 hii ni biashara kichaa kwa yeyote mwenye akili timamu,,,,ili ufaidi udaktari inabidi uwe specialist. Na specialist ananufaika kupitia bima ya afya ndomana bima ya afya inaleta kelele...kuwa specialist inachukua(3-7yrs na mkopo juu wa kusomea masters),mshahara wa specialist ni 2. millions😁😁😁kwa serikali ukitoa tasisi zinazojitegemea wao wanamishahara yao,,,,hvyo wazazi na walezi msiwaharibie vijana malengo kwa kuwastress lazima wasome udaktari,,,,,choose wisely!!!
 
Kiongozi kwani ni lazima kusomea udaktari,,,,,lazima ifike mahali muwaeleze watoto wenu ukweli,,,,anasoma udaktari ili iweje??,,kipi kimemsukuma kusomea udaktari??,,,isije kuwa anasoma akidhani kwenye udaktari ndo kwenye maisha!!!,,,udaktari ni wito na wito wowote there is a price to pay!!!!
Udaktari ni investiment isiyo endana na marejesho yake kama shirika la umeme😬, zingatia kusoma kwa 35millions to 50millions then unakuja kulipwa mshahara wa chini ya 1.5million na ukitoa marejesho ya mkopo na makato mengine unaishia kupokea kati ya 800k to 900k ndani ya miaka 15_17good years😁😁 hii ni biashara kichaa kwa yeyote mwenye akili timamu,,,,ili ufaidi udaktari inabidi uwe specialist. Na specialist ananufaika kupitia bima ya afya ndomana bima ya afya inaleta kelele...kuwa specialist inachukua(3-7yrs na mkopo juu wa kusomea masters),mshahara wa specialist ni 2. millions😁😁😁kwa serikali ukitoa tasisi zinazojitegemea wao wanamishahara yao,,,,hvyo wazazi na walezi msiwaharibie vijana malengo kwa kuwastress lazima wasome udaktari,,,,,choose wisely!!!

Mtoto kama ndiye mwenye ndoto ya kuwa Daktari huoni kama Gharama kubwa itamfelisha.

Mbali na hivyo, serikali pia inahitaji madaktari Kwa ajili ya kutumikia nchi katika sekta hiyo. Hivyo sio suala la mtu binafsi tuu Bali ni suala la jamii na Taifa Kwa ujumla.
 
Mtoto kama ndiye mwenye ndoto ya kuwa Daktari huoni kama Gharama kubwa itamfelisha.

Mbali na hivyo, serikali pia inahitaji madaktari Kwa ajili ya kutumikia nchi katika sekta hiyo. Hivyo sio suala la mtu binafsi tuu Bali ni suala la jamii na Taifa Kwa ujumla.
Huyo mtoto anaona watu wamevaa makoti na kuninginiza manati shingoni hajui kitu chochote,,,,,hilo neno ndoto linatumika vibaya ukiangalia vizuri tamaa za kuwa kama flani mwenye title ya dr. ndo kinachovavutia wengi plus jinsi mtu aliyesomea udaktari anavyotukuzwa mitaani,,,,kama mwanao anandoto kama unavyoiita basi its right time for you as a father or guardian uanze kunvest kwenye assets mbalimbali ambazo zitamfanya kufikia ndoto zake hiyo option 1 au asome na atusue kweli ili asome vyuo vya serikali ila atakuwa na deni la mkopo usiopungua 35millions,,,,,maana ukweli ni kwamba hayo masomo ni gharama mno!!!
 
Kiongozi kwani ni lazima kusomea udaktari,,,,,lazima ifike mahali muwaeleze watoto wenu ukweli,,,,anasoma udaktari ili iweje??,,kipi kimemsukuma kusomea udaktari??,,,isije kuwa anasoma akidhani kwenye udaktari ndo kwenye maisha!!!,,,udaktari ni wito na wito wowote there is a price to pay!!!!
Udaktari ni investiment isiyo endana na marejesho yake kama shirika la umeme😬, zingatia kusoma kwa 35millions to 50millions then unakuja kulipwa mshahara wa chini ya 1.5million na ukitoa marejesho ya mkopo na makato mengine unaishia kupokea kati ya 800k to 900k ndani ya miaka 15_17good years😁😁 hii ni biashara kichaa kwa yeyote mwenye akili timamu,,,,ili ufaidi udaktari inabidi uwe specialist. Na specialist ananufaika kupitia bima ya afya ndomana bima ya afya inaleta kelele...kuwa specialist inachukua(3-7yrs na mkopo juu wa kusomea masters),mshahara wa specialist ni 2. millions😁😁😁kwa serikali ukitoa tasisi zinazojitegemea wao wanamishahara yao,,,,hvyo wazazi na walezi msiwaharibie vijana malengo kwa kuwastress lazima wasome udaktari,,,,,choose wisely!!!
Hii ishu nlikua najadili mchana na jamaa angu yan daktar amewekeza muda na fedha kwenda shule afu anakuja kulipwa takehome ya 900k wakat kuna mwanasiasa yeye kaishia darasa la saba yuko pale dodoma analipwa posho 240k kwa siku. This is weird
 
Kwema Wakuu!

Huwaga najiuliza ikiwa Ada ya kusomea Udaktari kwa mwaka ni zaidi ya Milioni Sita bila ya mkopo. Ukipewa Mkopo 100% yadaiwa Serikali itakulipia nusu yaani sio zaidi ya milioni tatu. Inamaana mwanafunzi atalipa sio pungufu ya Tsh. Milioni 3. Kwa miaka mifano hiyo ni zaidi ya Tsh. Milioni 15.

Sasa najiuliza kwa watoto masikini ambao Ada tuu ya shule ya shule za Kata ziliwashinda, hivi watatimiza ndoto zao kweli za kuwa madaktari?

Maana hiyo Ada ya milioni Tatu Kwa mwaka sio lelemama kwa Watanzania masikini, Serikali iliangalie Jambo hili.

Ni akheri itoze Ada huku chini alafu Kwa watakobahatika kufika vyuo kusomea taaluma wasome bure, kuliko kusoma elimu ya sekondari bure ambayo hata ukimaliza hauna taaluma yeyote, na kuwalipisha wanaosomea taaluma au fani.

Serikali isomeshe bure madaktari na fani zingine nyeti ambazo hazina Wataalamu wengi. Kama ikishindwa itoe mikopo 100% .

Karibuni Kwa mjadala.
Iko hivyo miaka yote..Chekechea ada hadi mil.1 na Sekondari zaidi mil.3 sembuse kulipia Hiyo mil.3 university?

Pamoja na hayo serikalini inalipia wanafunzi wote wa kaya maskini wale wa Tasaf na wale waliofanya Vizuri na wakachagua kozi yeyeote ya sayansi ikiwemo kozi za Udaktari..
 
Hii ishu nlikua najadili mchana na jamaa angu yan daktar amewekeza muda na fedha kwenda shule afu anakuja kulipwa takehome ya 900k wakat kuna mwanasiasa yeye kaishia darasa la saba yuko pale dodoma analipwa posho 240k kwa siku. This is weird
Unajua katika nchi yetu watu wanaishi maisha ya kubahatisha ndo shida inapoanzia,,,,,watu hatuna mentors wa kutuguide maishani na umuhimu wa mentors hatujafanikiwa kuuona hivyo ni vurugu mechi,,,,,issue kama hii ya udaktari tungeweza kuisolve through scholarships kibao zinazotolewa na nchi marafiki ila sasa balozi zetu zimelala ujasusi wa kiuchumi hamna kabisa balozi zipo ila hawasaidii nchi kwa vyovyote vile. Tungepata madaktari wengi na wenye exposure na kwa gharama nafuu ila ndo hivyo tunasubir rocket science kupata mabadiliko😬😬😬
 
Exposure kwenye haya maisha ni elimu kubwa sana....
 
Back
Top Bottom