Hivi Kwa hii Ada ya Udaktari, watoto wa Masikini watatimiza ndoto zao kweli?

Hivi Kwa hii Ada ya Udaktari, watoto wa Masikini watatimiza ndoto zao kweli?

Watanzania tujifunze kuwapigania watoto wetu tuliowazaa wenyewe tusitumie umaskini kama kichaka cha kulia lia

#beba hata bunduki kasake pesa
Ahsanteee kaka naomba Mungu Binti yangu atimize ndoto zake
 
Mtoto wa maskini piga shule ufaulu vizuri upate scholarship achana na mikopo
 
Back
Top Bottom