Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha sijaijua ikoje ikoje hebu fafanua zaidi nieleweYa Urefu au Ufupi wako...
[emoji1787][emoji1787]nimetulia shem, nasubiri ujio wako tu hapa!!Tulizana Tuliii...
Hili tulimalize... Nimemuuliza nije na nini?
Mitaala mipya ilivyoanzishwa...Since when?
[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji1787][emoji1787]nimetulia shem, nasubiri ujio wako tu hapa!!
Picha inayoonesha Urefu au ufupi wako...nini hujaelewa?Hii picha sijaijua ikoje ikoje hebu fafanua zaidi nielewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wafupi tutaogopa hata kuzama PM humu.
Aaah mwanakulifind....Mitaala mipya ilivyoanzishwa...
Kwa hiyo unataka kuniambia vyote ataandaa Mwalimu kweli?
Mishipa ya kichwa imewasimama balaa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah[emoji114][emoji114][emoji114][emoji114][emoji114]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aaah mwanakulifind....
Kwani sisi tulikwambia tunataka elimu? Si umejitolea mwenyewe!! Basi hangaika mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watatukana hapa...Mishipa ya kichwa imewasimama balaa,
Ngoja waje usikie makasiriko yao[emoji3]
Sivitakiiii, urudi navyo kwako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa ngoja nianze kuandaa vitendea kazi mimi...Nikimaliza navyo kazi huko nitakuachia... Au hutapenda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume wafupi tuna kikao cha dharura muda huu
Haiwezekani hii haikubaliki.
Nimtukane nani na ufupi wangu huu.??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu unawatukana siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sivitakiiii, urudi navyo kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimtukane nani na ufupi wangu huu.??
Sisi wengine wafupi juu na chini, so sad [emoji18][emoji18]