Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Uchaguzi 2020 Hivi kwanini baadhi ya watu wanataka Aidah Khenan wa CHADEMA ajiuzulu Ubunge alioshinda?

Mkuu Zitto J,
Vipi kama Mbowe ndiyo angeshinda ubunge peke yake?
Kwani Mbowe ni exception? Mbona alijitoaga bunge la katiba na kuacha mamilion ndio angeshindwa sahvi?

Hta kule zenji Maalim alipofanyiwa figisu wale wawakilishi wote walioshinda waliachia majimbo yao kma protest bila kujali vyeo vyao. So haitokua mara ya kwanza kwa upinzani Tz kufanya hivyo.

Kumbuka jimbo moja linatosha kuuzika upinzani kwa hoja kwamba.... Kama ameshinda Nkasi kivp waibiwe Moshi? Hapo utajibu nini?

Na tegemea wataachia mengine kabla tallying haijaisha ili kuhalalisha uchaguzi.
 
Kukubali kuwa kashinda kihalali ni kumaanisha wenzie wameshindwa kihalali.
Nakumbuka 2017 Woman MP wa Nairobi alishinda kwa zaidi ya 70% ila Odinga alidai ameibiwa kura....
Hv CCM mnawajua vizur? Hawashindwi kumtafuta mwanachadema feki wakafosi agombee wampe tu mbona wepesi kusahau Kama spika ndugai aliwakingia kifua wabunge wasaliti wa Chadema kina silinde na juakali walipofukuzwa Chadema lkn akawaita bungeni sembuse huyo mbunge mmoja na watakua wamefanya makusudi ili chadema wagombane Tena wasahau wizi huu wa kura,hapo huyu mbunge aachwe tu na cdm hata wasihoji kitu maana huo Ni mtego wa ccm mnaeza shangaa jiwe anampa uwaziri
 
Hv ccm mnawajua vizur? Hawashindwi kumtafuta mwanachadema feki wakafosi agombee wampe tu mbona wepesi kusahau Kama spika ndugai aliwakingia kifua wabunge wasaliti wa cdm kina silinde na juakali walipofukuzwa cdm lkn akawaita bungeni sembuse huyo mbunge mmoja na watakua wamefanya makusudi ili cdm wagombane Tena wasahau wizi huu wa kura,hapo huyu mbunge aachwe tu na cdm hata wasihoji kitu maana huo Ni mtego wa ccm mnaeza shangaa jiwe anampa uwaziri
Aiseee huu mtego ni wa hatari sana, inahitajika umakini wa hali ya juu.
 
CHADEMA achane upumbavu na ubinafsi,huyu dada namfahamu tumewahi kuishi mtaa mmoja...
Namuonea huruma sana huyo dada. Atasimangwa sana na chadema kuliko ccm.

Kuna watu wajinga sana wengi ndani ya chadema
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, yaani unaunga mkono ujinga alioandika huyo?
Kaongea nni cha uongo? Silinde si alitumbuliwa ila Spika akamlinda so hta hyu ingetokea katambua matokeo akivuliwa uanachama still angelindwa!!

NB: Nina uwezo mdogo wa kufikiri yes so Njoo na counter argument ili unieleweshe. Mbona rahisi tu
 
Anakuwaje peke yake si Kuna vit maaalum wa kutosha kwa watakao Pata ushind wa pili
 
Ninashauri awaachie Hilo jimbo au ajiunge nao. Ili Wananchi wafurahie mfumo wa chama kimoja Kama wait ndivyo walivyotaka. Ila Hadi 2025 watanzania ninawaonea huruma Sana kwenye huo mfumo wa chama kimoja.
Mbona Zanzibar wamemaliza miaka mitano bila upinzani na mambo yameenda kama kawaida na maendeleo Wazanzibar wamepata?
 
Kwani ubunge wa viti maalum si alipewa akiwa kapuku kabisa hakuna anayemfahamu kwenye ulimwengu wa siasa.

Leo hii ndio azione pesa ni muhimu kuliko waliompa ubunge wa ''zawadi'' miaka 5 iliyopita?

Huyo dada ni lazima ajiuzulu otherwise amehalalisha upuuzi wote uliofanyika jana.
Mwacheni dada wa watu aende bungeni ajiuzulu kwa sababu gani?
 
Mbunge anadhaminiwa na chama sio wananchi. Hta bungeni mnakaa kwa mfumo wa kichama, same to kamati. Na ndio maana Leo Mbowe akimfuta uanachama huyo dada ndio ubunge wake unafia hapi hapo.
Uko sahihi mkuu!...ila unakumbuka sakata la Mwambe na maamuzi aliyochukua Ndugai?
 
Ajiuzulu halafu Kessy alazimishwe arudi?? Hao wanaosema wanatumiwa na Kessy..msisahau nchi hii sheria hazifuatwi isipokua ukiikosea au dola ikitaka kukufix.

AKIJIUZULU WATASEMA WA 2 atangazwe na hamna la kufanya..
 
ajiuzulu tu,halafu ajiunge kule kwa wale wengi kisha agombee kwa chama cha wengi,ulaji wake utakuwa palepale,haina maana kwenda mjengoni wakati wenzako wengi wamefanyiwa uhuni
 
Kwa namna alivyopambana Jana na Juzi hawezi kujiuzuru. Amerudisha heshima kwa Wana Nkasi. Kessy alikuwa anatukana watu Sana. Ilifika stage akaahidi kuwa akipita watakoma.

Akawaambia watu wasimchague Aidah kwa kuwa anavuja kila mwezi, Jambo lililowakasirisha wamama. Kama hiyo haitoshi, akagawa zawadi ya chupi kwa kina mama. Jambo hili liliwaudhi Sana akina mama. Kessy hafai hata kuwa Mwenyekiti wa Kijiji.
 
Back
Top Bottom